je ukicarry somo moja unaweza pangiwa ajira?

je ukicarry somo moja unaweza pangiwa ajira?

oxlade

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2012
Posts
601
Reaction score
96
Naombeni msaada kujua hilo, je mtu akicarry na kamaliza chuo anaweza kupangiwa kituo cha kazi kwa kozi ya education?
 
Jomba kiufupi huwezi pangiwa kituo cha kazi wakati bado unasoma. Ukibeba somo huwezi kuhitimu mwaka huo mpaka usafishe hio shombo na mwaka unaofuta ndo uta hitimu na kupangiwa kituo cha kazi.
 
Back
Top Bottom