Je, ukijamba kwa bahati mbaya au kwa kulazimika uwapo Kanisani au Msikitini Dua yako inapokelewa na aliyeketi Juu Mbinguni?

Je, ukijamba kwa bahati mbaya au kwa kulazimika uwapo Kanisani au Msikitini Dua yako inapokelewa na aliyeketi Juu Mbinguni?

Katika Uislam kujamba Hauzui Dua kupokelewa.Ila kujamba kunabatilisha swala.Kwa hiyo kama unasali inabidi uvunje swala ili ukapate udhu upya.
 
Back
Top Bottom