GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 60,660 Reaction score 121,325 Dec 16, 2023 #1 Najiandaa kusoma Comments zenu.
Restless Hustler JF-Expert Member Joined Apr 9, 2017 Posts 5,150 Reaction score 20,025 Dec 16, 2023 #2 Huu Uzi haufiki mbali, ngoja mods waamke
GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 60,660 Reaction score 121,325 Dec 16, 2023 Thread starter #3 Restless Hustler said: Huu Uzi haufiki mbali, ngoja mods waamke Click to expand... Una Kosa gani? Na upo Jukwaa gani?
Restless Hustler said: Huu Uzi haufiki mbali, ngoja mods waamke Click to expand... Una Kosa gani? Na upo Jukwaa gani?
Morning_star JF-Expert Member Joined Apr 21, 2018 Posts 6,042 Reaction score 17,320 Dec 16, 2023 #4 Kuna mtu kaingia kimakosa kwenye account ya GENTAMYCIME huyu ninayemjua hawezi andika shit kama hii
Chupayamaji JF-Expert Member Joined Sep 19, 2017 Posts 5,784 Reaction score 13,642 Dec 16, 2023 #5 Katika Uislam kujamba Hauzui Dua kupokelewa.Ila kujamba kunabatilisha swala.Kwa hiyo kama unasali inabidi uvunje swala ili ukapate udhu upya.
Katika Uislam kujamba Hauzui Dua kupokelewa.Ila kujamba kunabatilisha swala.Kwa hiyo kama unasali inabidi uvunje swala ili ukapate udhu upya.