Je ukikutana na hii utafanya nini?

Je ukikutana na hii utafanya nini?

ABiClever Junior

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2016
Posts
948
Reaction score
548
umetoka matembezi ukiwa barabarani unakuta iphone 6 katikati ya kinyesi cha binaadam je utaichukuwa au utaona kinyaa na kuiacha?
 
Unatakiwa ukumbuke kwamba Hata babu naye alikuwa kijana.
Kwahiyo hata kinyesi nacho kilikuwa mahanjumati plus mapoko poko manjali....
Kwahiyo swali lako unatakiwa uulize
endapo utakuta iPhone 6+ kwenye pilau au viepe vya zamani, utaiacha?
 
Unatakiwa ukumbuke kwamba Hata babu naye alikuwa kijana.
Kwahiyo hata kinyesi nacho kilikuwa mahanjumati plus mapoko poko manjali....
Kwahiyo swali lako unatakiwa uulize
endapo utakuta iPhone 6+ kwenye pilau au viepe vya zamani, utaiacha?
Hahahaha sawa boss
 
Kwa mfano wewe ungefanya lipi kwanza ili tujue iq yako
 
Back
Top Bottom