lodirofaa Member Joined Jul 6, 2021 Posts 25 Reaction score 62 Jul 28, 2021 #1 Wakuu nilikuwa nahitaji ufafanuzi je ukipata chanjo ya Corona ukitaka kusafiri unatakiwa upime tena?
Dr Restart JF-Expert Member Joined Jul 15, 2021 Posts 4,949 Reaction score 24,046 Jul 28, 2021 #2 lodirofaa said: Wakuu nilikuwa nahitaji ufafanuzi je ukipata chanjo ya Corona ukitaka kusafiri unatakiwa upime Tena? Click to expand... Kupima lazima. Chanjo haiguarantee kuwa hutopata tena Corona. Unaweza kupata chanjo na bado ukapata Corona.
lodirofaa said: Wakuu nilikuwa nahitaji ufafanuzi je ukipata chanjo ya Corona ukitaka kusafiri unatakiwa upime Tena? Click to expand... Kupima lazima. Chanjo haiguarantee kuwa hutopata tena Corona. Unaweza kupata chanjo na bado ukapata Corona.
and 300 JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 26,398 Reaction score 36,406 Jul 28, 2021 #3 lodirofaa said: Wakuu nilikuwa nahitaji ufafanuzi je ukipata chanjo ya Corona ukitaka kusafiri unatakiwa upime Tena? Click to expand... Unaogopa kupima kwa nn? Sio Corona tu hata Ngwengwe tutakupima
lodirofaa said: Wakuu nilikuwa nahitaji ufafanuzi je ukipata chanjo ya Corona ukitaka kusafiri unatakiwa upime Tena? Click to expand... Unaogopa kupima kwa nn? Sio Corona tu hata Ngwengwe tutakupima
and 300 JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 26,398 Reaction score 36,406 Jul 28, 2021 #4 Restart said: Kupima lazima. Chanjo haiguarantee kuwa hutopata tena Corona. Unaweza kupata chanjo na bado ukapata Corona. Click to expand... Sio kupata tu Corona hata kutangulia is possible
Restart said: Kupima lazima. Chanjo haiguarantee kuwa hutopata tena Corona. Unaweza kupata chanjo na bado ukapata Corona. Click to expand... Sio kupata tu Corona hata kutangulia is possible
Shing Yui JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 15,168 Reaction score 38,049 Jul 28, 2021 #5 Kama huna cheti utapimwa..
Ndalilo JF-Expert Member Joined Jan 30, 2013 Posts 3,343 Reaction score 7,516 Jul 28, 2021 #6 Maelezo ya wizara yako wazi na yanaeleweka, chanjo haibadilishi chochote, unaweza kuambukizwa, kuambukiza na kufa pia hata baada ya chanjo. Kupima na tahadhari inaendelea kubaki pale pale.
Maelezo ya wizara yako wazi na yanaeleweka, chanjo haibadilishi chochote, unaweza kuambukizwa, kuambukiza na kufa pia hata baada ya chanjo. Kupima na tahadhari inaendelea kubaki pale pale.
mlogolaje JF-Expert Member Joined Nov 10, 2016 Posts 1,509 Reaction score 813 Jul 28, 2021 #7 Restart said: Kupima lazima. Chanjo haiguarantee kuwa hutopata tena Corona. Unaweza kupata chanjo na bado ukapata Corona. Click to expand... Sasa tunachanja ili iweje
Restart said: Kupima lazima. Chanjo haiguarantee kuwa hutopata tena Corona. Unaweza kupata chanjo na bado ukapata Corona. Click to expand... Sasa tunachanja ili iweje
lodirofaa Member Joined Jul 6, 2021 Posts 25 Reaction score 62 Jul 28, 2021 Thread starter #8 mlogolaje said: Sasa tunachanja ili iweje Click to expand... Ndyo hapo Sasa unachanja kwanin