Nimesoma za kampuni moja nikashangaa nguvu waliyonayo juu ya pesa yako ila sikuona sehemu waliyoandika kuhusu haki waliyonayo kukutangaza au kukupiga picha.Wabetiji wengi huwa hatusomi kabisa T&Cs za bookies.
Sisi tunaangalia tu sehemu za kutick na accept.
Ukiona maelezo yoyote marefu unascroll fasta tu.
Noma sana!Sheria zao zipo wazi kabisa, mfano sportpesa ukishinda jackpot lazima utangazwe kwahyo ukikataa umevunja kanuni zao hauwezi pata pesa ulizoshinda.
Ukishaambiwa terms & conditions apply, maana yake ukishiriki umeshakubali kufuata masharti yao, sasa kama kuficha sura haikuwa miongoni mwa hizo terms & conditions zao, basi unaweza kuwashtaki kama utashinda halafu walazimishe utambulike.
Gaming rules kama ya sportpesa unapojiunga zimeweka wazi washindi wa dau kubwa kama jackpot picha zao zitatumika kwa promotion,sasa kama sheria umezisoma na ukakubali kujisajili unakwepa vipi kuonekana
Sheria zao zipo wazi kabisa, mfano sportpesa ukishinda jackpot lazima utangazwe kwahyo ukikataa umevunja kanuni zao hauwezi pata pesa ulizoshinda.
Yani usitangazwe ili waonekakane matapeli?
Basi nitawaambia nawaachia kaasilimia ka ushindi wangu ili nibaki "nisiyejulikana". Kanji anavyopenda pesa hawezi kukataaKwa bongo nadhani ni ngumu kwakuwa ndio kwanza utatumika kama tangazo la biashara yao
Ukiona vigezo huwezi acha kubetBasi nitawaambia nawaachia kaasilimia ka ushindi wangu ili nibaki "nisiyejulikana". Kanji anavyopenda pesa hawezi kukataa
Milioni 158.4 dollars??????????????? Au naota
Shalom Shalom vijana kwa wazee, mabibi na mabwana. Amani iwe nanyi.
Nina swali fupi ila muhimu ningependa kupata mwongozo wa kisheria kwa wale wenye ufahamu wa jambo hili.
Chukulia umeshinda katika Jackpot katika Betting, lakini kutokana na sababu mbalimbali za kiusalama, ulinzi na ustawi wa maisha yako, unapendelea ushindi wako usiwekwe wazi kwa maana ya jina lako lisitangazwe au usipigwe picha.
Najua makampuni ya betting wanataka na kupendelea washindi watangazwe kwa ajili ya promotion zao ili pia wajilinde wasionekane matapeli, kwa hiyo hili nadhani wamelibana na wameliweka kwenye T&C zao.
Nadhani niliwahi kusikia kuna nchi au maeneo unaweza kufungua Kampuni au Trust ikawa mwakilishi wa kupokea pesa yako kwa wale wanaopenda kubaki "anonymous" au "asiyejulikana".
Nimeanza kusikia harufu za mashuka ya k
Rekebisha kwanza hilo neno "Kamari" na uweke neno "Bahati nasibu".Shalom Shalom vijana kwa wazee, mabibi na mabwana. Amani iwe nanyi.
Nina swali fupi ila muhimu ningependa kupata mwongozo wa kisheria kwa wale wenye ufahamu wa jambo hili.
Chukulia umeshinda katika Jackpot katika Betting, lakini kutokana na sababu mbalimbali za kiusalama, ulinzi na ustawi wa maisha yako, unapendelea ushindi wako usiwekwe wazi kwa maana ya jina lako lisitangazwe au usipigwe picha.
Najua makampuni ya betting wanataka na kupendelea washindi watangazwe kwa ajili ya promotion zao ili pia wajilinde wasionekane matapeli, kwa hiyo hili nadhani wamelibana na wameliweka kwenye T&C zao.
Nadhani niliwahi kusikia kuna nchi au maeneo unaweza kufungua Kampuni au Trust ikawa mwakilishi wa kupokea pesa yako kwa wale wanaopenda kubaki "anonymous" au "asiyejulikana".
Nimeanza kusikia harufu za mashuka ya kimasai.
Nadhani uko sahihi. Sijui kwa nini nimelitumia maana huwa sina kawaida ya kulitumia maana huwa naona lina ukakasi.Reke
Rekebisha kwanza hilo neno "Kamari" na uweke neno "Bahati nasibu".
Hii ni kwasababu kucheza kamari ni kosa kisheria ila ukiweka neno bahati nasibu inaonekana ni biashara ambayo imerasimishwa kwa kuzingatia taratibu za kisheria za usajili, biashara ambayo inalipa kodi na kuzingatia miongozo yote ya kiserikali.
Kamari ni haramu, bahati nasibu ni halali
Kuna jamaa mwaka juzi alipiga mil.246 mpaka Sasa amelazimika kuuza mabasi yake madogo aliyonunua kuongeza Biashara zake za Usafirishaji. Ndugu wamekuwa tatizo kwenye Biashara zake wakiamini ana hela nyingi Sana.Umesahau na marafiki. Mtu anaweza kugeuka adui wakati mlikuwa mnaishi vizuri tu enzi haujawa "tajiri"
Nalielewa vizuri hili suala. Pesa ya Bahati Nasibu ina tabia ya kukauka ghafla kwa sababu watu wanadhani haujaitolea jasho. Watu ambao wengine walikuwa wanakuchukulia poa wataibuka na shida zao na usipowapa kile wanachokuomba, au usipowapa chote wanageuka maadui zako.Kuna jamaa mwaka juzi alipiga mil.246 mpaka Sasa amelazimika kuuza mabasi yake madogo aliyonunua kuongeza Biashara zake za Usafirishaji. Ndugu wamekuwa tatizo kwenye Biashara zake wakiamini ana hela nyingi Sana.
Wasionekane ni matapeli, kumbe huwa ni matapeli?Shalom Shalom vijana kwa wazee, mabibi na mabwana. Amani iwe nanyi.
Nina swali fupi ila muhimu ningependa kupata mwongozo wa kisheria kwa wale wenye ufahamu wa jambo hili.
Chukulia umeshinda katika Jackpot katika Betting, lakini kutokana na sababu mbalimbali za kiusalama, ulinzi na ustawi wa maisha yako, unapendelea ushindi wako usiwekwe wazi kwa maana ya jina lako lisitangazwe au usipigwe picha.
Najua makampuni ya betting wanataka na kupendelea washindi watangazwe kwa ajili ya promotion zao ili pia wajilinde wasionekane matapeli, kwa hiyo hili nadhani wamelibana na wameliweka kwenye T&C zao.
Nadhani niliwahi kusikia kuna nchi au maeneo unaweza kufungua Kampuni au Trust ikawa mwakilishi wa kupokea pesa yako kwa wale wanaopenda kubaki "anonymous" au "asiyejulikana".
Nimeanza kusikia harufu za mashuka ya kimasai.
Jamaa anataka kukimbia vizinga vya ndugu na jamaa😀😀.
Hii pesa unakula bila kuizalisha mpka unakufa ,Yani hujishughulishi na chochote we ni kuila tu ata wakuchune VP haiwez isha😂 hii sawa na bilioni za kitanzania 431 na million 454 na laki 8 na usheee uko🙌
Anaogopa watu anao wafahamu wataenda kumu-download, atashindwa kuwakatalia madhala yake 1. Watamvulugia bajetiMkuu unataka ubunye peke yako hilo zali? Au unaogopa walokole wenzako wanasema kamari ni dhambi?