Je; Uko Kwenye Group Gani Ya Cheaters?

Je; Uko Kwenye Group Gani Ya Cheaters?

Kwani kuchiti ni nini? Inaelekea bado hicho kinachofanyika na wengi wala siyo chiting kwa maana ya kutafuta kuridhishwa kingono.
NIONAVYO MIMI NI MCHANGANYIKO wa mambo mengi na siyo sababu moja. Kitu kimoja huleta kingine nk.
Kwa wanawake ( siwezi kuwasemea wanaume) kugeuza shingo, mwelekeo na moyo kwa mwanaume mwingine ni matokeo ya ombwe moyoni.Huwezi ukampuuza mwanamke wako kihisia - hasa za mapenzi utegemee atakaa anasononeka ndani kwa ndani milele wakati wewe kutwa unapuyanga na sketi sehemu nyingine.Itatokea siku mwanamke wako ataonwa na kupewa attention na opposite sex... hapo utarajie lolote linawezekana na mara nyingi siyo lazima kingono.
Kaeni chonjo kina baba/kaka mnaopuuza wanawake zenu nakudhani hakuna wanaowaona.Ukisema wa nini, wenzio wanasema nitampata lini.
 
Kwani kuchiti ni nini? Inaelekea bado hicho kinachofanyika na wengi wala siyo chiting kwa maana ya kutafuta kuridhishwa kingono.
NIONAVYO MIMI NI MCHANGANYIKO wa mambo mengi na siyo sababu moja. Kitu kimoja huleta kingine nk.
Kwa wanawake ( siwezi kuwasemea wanaume) kugeuza shingo, mwelekeo na moyo kwa mwanaume mwingine ni matokeo ya ombwe moyoni.Huwezi ukampuuza mwanamke wako kihisia - hasa za mapenzi utegemee atakaa anasononeka ndani kwa ndani milele wakati wewe kutwa unapuyanga na sketi sehemu nyingine.Itatokea siku mwanamke wako ataonwa na kupewa attention na opposite sex... hapo utarajie lolote linawezekana na mara nyingi siyo lazima kingono.
Kaeni chonjo kina baba/kaka mnaopuuza wanawake zenu nakudhani hakuna wanaowaona.Ukisema wa nini, wenzio wanasema nitampata lini.
Agreed! Tausi u a vere vere....:clap2:
 
thanks Tausi naona watu huwa wanatafuta kukimbia ukweli wakati wanatembea nao kwenye mikono yao
 
Akchuali sijaelewa kaji elimu yenyewe ya Jk!!:smile-big::smile-big:
But i like number 3 sijui kwann:Cry:
 
Back
Top Bottom