jeshi la mtu moja
Member
- Oct 19, 2016
- 86
- 35
Hadi hapo, zimesalia fomu 20 tu, zingine zote zimehesabiwa, zimepitiwa, zimedadavuliwa, zimekaguliwa kwa ushirikiano wa washika dau wote, wakiwemo mawakala wa upinzani, wachunguzi wa kimataifa, wanahabari n.k.
Only 20 form 34Bs remaining before Presidential election results
imefanyiwa kazi ndio wanamalizia fomu kama 17,000 zilizobakia. na matokea haya tofauti. angalia Citizen etc wanaonyesha kila hatua. Kwa hiyo Raila kabwagwa.Naombeni waofuatilia matokeo ya uchaguzi Kenya,je! Wameanza kuanza kuhakiki zile form ambazo Mh Raila alidai haijafanyiwa kazi?na hizo zilizopelekwa tume ya uchaguzi ni kopy au original?na matokea ikoje sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Raila abwagwe au ashinde cha msingi sheria za uchaguzi ziwe zimezingatiwa zinazotaka form Ndio zitumike kuhesabu na kujumlisha matokeo. Mimi binafsi zoezi hili likikamilika Kama mtanzania nitampongeza yoyote aliyeshinda awe odinga au Kenyatta. Mimi ni mmojawapo niliyekataa uhuni wa tume Ya uchaguzi kenya kutangaza matokeo bila kuwa na form Za matokeo kutoka vituoni. Yeyote akishinda To me it is OK as Long as election laws walizojiwekea zimezingatiwa .watanzania tumechoka kupokea wakimbizi wa nchi zinazotuzunguka ndio maana binafsi nilikuwa mkali kuwa tume ya uchaguzi kenya iache ujinga itangaze matokeo based on matokeo Ya vituoni yaliyosainiwa na mawakala wa vyama. Hilo likimalizika sina shida yeyote atakayeshinda nitampongeza awe raila au Kenyatta na Niko Tayari kushea shampeni ya pongezi na yeyoteimefanyiwa kazi ndio wanamalizia fomu kama 17,000 zilizobakia. na matokea haya tofauti. angalia Citizen etc wanaonyesha kila hatua. Kwa hiyo Raila kabwagwa.
Raila abwagwe au ashinde cha msingi sheria za uchaguzi ziwe zimezingatiwa zinazotaka form Ndio zitumike kuhesabu na kujumlisha matokeo. Mimi binafsi zoezi hili likikamilika Kama mtanzania nitampongeza yoyote aliyeshinda awe odinga au Kenyatta. Mimi ni mmojawapo niliyekataa uhuni wa tume Ya uchaguzi kenya kutangaza matokeo bila kuwa na form Za matokeo kutoka vituoni. Yeyote akishinda To me it is OK as Long as election laws walizojiwekea zimezingatiwa .watanzania tumechoka kupokea wakimbizi wa nchi zinazotuzunguka ndio maana binafsi nilikuwa mkali kuwa tume ya uchaguzi iache ujinga itangaze matokeo based on matokeo Ya vituoni yaliyosainiwa na mawakala wa vyama. Hilo likimalizika sina shida yeyote atakayeshinda nitampongeza awe raila au Kenyatta.
Toa mfano halisi nikujibu sasa hiviUnashangilia nchi za watu, ila huku MACCM wenzio wakibaga husemi neno.
Rubbish hujui kwani JPM alishinda?Toa mfano halisi nikujibu sasa hivi