1Afica54
Senior Member
- Feb 15, 2025
- 115
- 68
HABARI NDUGU ZANGU WANA JAMII FORUMs
Nimekua nikisikia kua ulaji wa NDIZI kupita kiasi yaani ikiwa ndizi ndio chakula kikuu kwa wanawake hufanya uke kua na maji mengi
kimekua na tetesi kua wanawake wengi wa kabila la KIHAYA wana maji ukeni sababu ni ulaji wa NDIZI
Je swala hili ni kweli kitaalamu?
Nimekua nikisikia kua ulaji wa NDIZI kupita kiasi yaani ikiwa ndizi ndio chakula kikuu kwa wanawake hufanya uke kua na maji mengi
kimekua na tetesi kua wanawake wengi wa kabila la KIHAYA wana maji ukeni sababu ni ulaji wa NDIZI
Je swala hili ni kweli kitaalamu?