Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni muhaya Ila hao jamaa wamekuwa wajinga Sana siku hiziShida maji ni mengi🤣🤣🤣
Wahaya sasa hivi hawajasoma wengi 4M4 na lasaba 7Kwanini sasa na ukiangalia kua wahaya wanasifika kwa elimu ila mkoa umepoa sana ata uchumi ni wa chini sana
ni michache sana wala hamtakiwi kujitaja kama mnamiliki migomba. umeshatembea nchi hii? umefika karagwe? umefika muleba? umefika tukuyu? umefika rungwe?Kwahiyo uchaggani hakuna ndizi? Hakuna migomba?
Usipende kukejeli watu, wewe ungesema tu kuwa huko kagera na tukuyu ndizi ni nyingi kuliko Kilimanjaro (ambayo sio kusudio la mjibu hoja kushindanisha).
Umedhihirisha either unachuki na na wacchaga au una matatizo ya akili.
Squirt sio maji ni mkojo broNi kweli, kuna reaearch nikitulia nitaitafuta. Kuna wazungu walifanya reserch bukoba kuhusu hili
Ukila ndizi daily lazima ata squirt
Nchi haiwezi kuendelea kwa mawazo ys kijinga hivi🤣
wanawake wa kihaya ata wakiwa dar, inakuaje apo!? mbna ndizi kama sio sababuNi kweli angalia wanawake wa bukoba ndo utaamini
Mueleze kuwa nawe una squirt mi nimekula mabinti wa kichaga. Hawa squirt kabisa. Labda weweKwahiyo uchaggani hakuna ndizi? Hakuna migomba?
Usipende kukejeli watu, wewe ungesema tu kuwa huko kagera na tukuyu ndizi ni nyingi kuliko Kilimanjaro (ambayo sio kusudio la mjibu hoja kushindanisha).
Umedhihirisha either unachuki na na wacchaga au una matatizo ya akili.
Nonsense mind! Acha ku replay kwenye comment zanguYaani hauna u GT kabisaaa.. Jionee aibu
Weka Mada zako ufurahie
Em fafanua zaidi.Watu wa Bukoba wanapenda Sana pombe na ngono . ndo maana mkoa umedumaa na akili za wahaya zipo chini IQ
Wahaya ni kweli wapo smart na hii haitokani Kwakuwa wamesomaEm fafanua zaidi.
Umeongea la maana ila hiyo ya DNA factor naomba uthibitishoWahaya ni kweli wapo smart na hii haitokani Kwakuwa wamesoma
Kiasilia wahaya ni bright Sana kutokana na DNA factor.
Ila kuhusu kudumaa Kwa mkoa Unatokana na tabia ambazo wamekuwa wakiziabudu za kuendekeza Sana ngono na pombe.