ujinga ni nini?Nchi haiwezi kuendelea kwa mawazo ys kijinga hivi🤣
huwa inanichekesha sana mtu kuja hapa na kusema uchagani kuna ndizi, mara oohh sisi wa migombani. wakati huo watu wa kagera, tukuyu/rungwe wamenyamaza kimyaa hata hawaongei kitu. hivi kuna mtu anaweza kuwaelewesha hawa watu maana halisi ya uwepo au ulaji wa ndizi? nikija kwenye mada, uliyejibu hata huelewi muuliza swali alilenga nini na sitakwambia. ila kaa karibu na watu wa bukoba au wanyakyusa watakufafanulia hilo swali. mchaga haingii kwenye izo mambo na hajawahi kutokea hata mmoja.Nafikiri ni kweli sababu hata wanawake wa kichaga wengi hawana tatizo la uke mkavu sababu ya kula ndizi sana.
Bananas are the ultimate source of potassium in the fruit world, which aids in blood circulation and overall sexual health.HABARI NDUGU ZANGU WANA JAMII FORUMs
Nimekua nikisikia kua ulaji wa NDIZI kupita kiasi yaani ikiwa ndizi ndio chakula kikuu kwa wanawake hufanya uke kua na maji mengi
kimekua na tetesi kua wanawake wengi wa kabila la KIHAYA wana maji ukeni sababu ni ulaji wa NDIZI
Je swala hili ni kweli kitaalamu?View attachment 3241411
Kwahiyo uchaggani hakuna ndizi? Hakuna migomba?huwa inanichekesha sana mtu kuja hapa na kusema uchagani kuna ndizi, mara oohh sisi wa migombani. wakati huo watu wa kagera, tukuyu/rungwe wamenyamaza kimyaa hata hawaongei kitu. hivi kuna mtu anaweza kuwaelewesha hawa watu maana halisi ya uwepo au ulaji wa ndizi? nikija kwenye mada, uliyejibu hata huelewi muuliza swali alilenga nini na sitakwambia. ila kaa karibu na watu wa bukoba au wanyakyusa watakufafanulia hilo swali. mchaga haingii kwenye izo mambo na hajawahi kutokea hata mmoja.
Kwahiyo uchaggani hakuna ndizi? Hakuna migomba?
Usipende kukejeli watu, wewe ungesema tu kuwa huko kagera na tukuyu ndizi ni nyingi kuliko Kilimanjaro (ambayo sio kusudio la mjibu hoja kushindanisha).
Umedhihirisha either unachuki na na wacchaga au una matatizo ya akili.