Digging deeper
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 787
- 512
haahahahhah kule jukwaa linawachangiaji wengiBaada ya miezi 2 nilianzisha uzi kwenye jukwaa la mapenzi ambao unapendwa na kila rika humu jamii forum..!
Hiyo maana yake nini mkuuKi pekee nashukuru jf leo kwa kunitunuku cheo hichi cha jf expert member ambacho nilikuwa nakitamani kwa muda mrefu sasa najiona ni member rasmi baada ya kujiunga toka mwaka 2020.Je wewe member mwezangu cheo hichi ulikipata baada ya muda gani
sijakuelewaHiyo maana yake nini mkuu
inaleta heshima kidogo mkuuπππSaivi natamani kuwa PLATINUM Member aisee
Maxence Melo na Moderator naombeni vigezo isiwe kulipia tu[emoji28][emoji28][emoji28]
Maana yajfexpert member ni ipisijakuelewa
Maana yajfexpert member ni ipi
naisi umekuwa member kamiliMaana yajfexpert member ni ipi
Ki pekee nashukuru jf leo kwa kunitunuku cheo hichi cha jf expert member ambacho nilikuwa nakitamani kwa muda mrefu sasa najiona ni member rasmi baada ya kujiunga toka mwaka 2020.Je wewe member mwezangu cheo hichi ulikipata baada ya muda gani
πππππsawa mkuu sema kuna heshima kidogo....Kawaida maana bundle la data Ni langu.
Hii expert member inatokana na idadi ya posts wala sio cheo mtu akiwa.active kwa miezi.miwili anafika hapoHiyo maana yake nini mkuu
saizi huo utaratibu haupo mkuuMiaka ya nyuma ulikuwa ukipongezwa kwa kufikisha milestone mbali mbali. Watu wakiona umefikisha posts 100, 200, 300, 400 , 1,000 na kuendelea mtu alikuwa anafungua uzi na unamwagiwa sifa na pongezi kibao kutoka kwa wadau.
ndio nazani ata baadhi ya jukwaa wanarusiwa kupost wakati ukiwa member wakaida haurusiwi kupost
Siku hizi majukwaa yenye restrictions hayapo yote jiachie ila mengine watu hawaendi coz huko kuna akili kubwa kwelikwelindio nazani ata baadhi ya jukwaa wanarusiwa kupost wakati ukiwa member wakaida haurusiwi kupost
jukwaa kama intelligence na great thinker lazima uwe na nondo za kutosha kabisaπ π πSiku hizi majukwaa yenye restrictions hayapo yote jiachie ila mengine watu hawaendi coz huko kuna akili kubwa kwelikweli
HahahahKi pekee nashukuru jf leo kwa kunitunuku cheo hichi cha jf expert member ambacho nilikuwa nakitamani kwa muda mrefu sasa najiona ni member rasmi baada ya kujiunga toka mwaka 2020.Je wewe member mwezangu cheo hichi ulikipata baada ya muda gani