Je ulijisikiaje pale ambapo jf ilikutunuku cheo cha jf expert member

Je ulijisikiaje pale ambapo jf ilikutunuku cheo cha jf expert member

jukwaa kama intelligence na great thinker lazima uwe na nondo za kutosha kabisa[emoji28][emoji28][emoji28]
Kule kama huna nondo we.soma.kimyakimya kama mgeni upate madini japo yote.sio ya kuamini hasa UWEPO wa.MUNGU.kule kuna.MASHETANI HASAA[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] So dogo kule achana napo jikile MMU[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kule kama huna nondo we.soma.kimyakimya kama mgeni upate madini japo yote.sio ya kuamini hasa UWEPO wa.MUNGU.kule kuna.MASHETANI HASAA[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] So dogo kule achana napo jikile MMU[emoji23][emoji23][emoji23]
uwa na pita kimya kimya maana mada za kule ni kisanga😂😂😂😂
 
Mi nimepata hiyo nafkiri ni 2017 lakini nimejiunga humu 2013 tena january. Wala haikunipa shida kuwa memba wala sinior coz napenda sana kusoma more than kuandika. Mi ni mvivu kupost imagine since 2013 mpk leo nna message 847 😬
 
Mi nimepata hiyo nafkiri ni 2017 lakini nimejiunga humu 2013 tena january. Wala haikunipa shida kuwa memba wala sinior coz napenda sana kusoma more than kuandika. Mi ni mvivu kupost imagine since 2013 mpk leo nna message 847 😬
miaka mingi sana mimi mwenyewe awali nilikuwa msomaji
 
Back
Top Bottom