Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Safi sana
Nje nje ni nje tu
kibongo bongo utoto ulete mtu eti mbakie
Wawili tu chumbani hizo bakora zakeeeh
Nje ni nje tu... tunaita wana mila potofu lakini huwezi kukuta magonjwa ya kijinga jinga kama huku kwetu... tunaita hawana maadili ni kwa sababu ya tunavyoona kwenye Tv... lakini hali halisi haipo vile.. kila mtu ana mind his/her own business...
Kuwa na rafiki wa kike ni jambo la kawaida sana ndiyo maana hata siyo watumwa wa ngono kama sisi huku... huku mkiachwa wawili tu lazima mtahakikisha mpaka mnanyonyoana...