David Peter Sembosi
Member
- Jun 29, 2013
- 38
- 1
"Asilimia kubwa ya Members humu "JF"elimu waliyoipata haijawasaidia!!?.Mtu unaomba ushauri but unachoambulia ni Matusi na Vidonge/Makavu kavu,Sasa jamani mi nikikuuliza swali kama hunajibu sibora ukafunga bakuli lako tu,kwani utapungukiwa na kitu gani?