KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Habarini waungwana,Leo tena mbele yenu huku nikiwa na swali nyeti kidogo ambalo limejikuta tu likilanda kwenye fikra zangu!..
Je, ulimwengu hauna namna yoyote ya utunzaji kumbukumbu..?
Nikiandika ulimwengu naomba ichukuliwe vitu vyote kwa maana ya nyota, sayari zote,Galaxy n.k kiujumla vyote vinavyounda ulimwengu..
Zalisho la swali langu limetokana na hoja hii let's say ktk sayari nyengine ambayo hatujawahi kuifikia kuwe na viumbe hai wawe na mambo yao,utamaduni wao,teknolojia zao n.k lkn kwa bahati mbaya kukatokea angamizo ambalo hakutafanya chochote kibaki! I mean chochote kile hata hiyo sayari isibaki yote iteketee au hata Kama ikibaki basi kumbukumbu zote za juu ya uhai kuhusu hiyo sayari vyote vikafutika na kuteketea!.. then baada ya muda mrefu au mfupi binadamu aweze kufika kwenye sayari hiyo au eneo hilo ilipokuwepo sayari husika na atakapofanya tafiti asipate taarifa yoyote ya kwamba sayari husika iliwahi kuwa na uhai!,japo kabla ya angamizo ilikuwa na uhai!.. hapo ndipo swali langu linapokuja je, ulimwengu hauna namna yoyote ya utunzaji wa kumbukumbu(taarifa) juu ya kitu fulani kuwa kiliwahi kuwepo hata kama kilishapotea kitambo..???
Au hili swali litahitaji kujua laws zote za ulimwengu zinavyofanya kazi..? Kama ulimwengu haubakizi(hautunzi taarifa) kwanini iwe hivyo..?
Au bado hatujapata ujuzi wa kudetect ishara zote zinazozalishwa ktk ulimwengu ndio maana tunakosa majibu baadhi ya maswali..? Namaanisha taarifa huenda zipo lkn hatujajua namna ya kuzidetect hii inakuwa na mfano wa kiziwi anaweza kuona mwanga wa radi ila hasikii muungurumo!.. 😅
Naishia hapo kwa walionielewa karibuni tujadili.
Je, ulimwengu hauna namna yoyote ya utunzaji kumbukumbu..?
Nikiandika ulimwengu naomba ichukuliwe vitu vyote kwa maana ya nyota, sayari zote,Galaxy n.k kiujumla vyote vinavyounda ulimwengu..
Zalisho la swali langu limetokana na hoja hii let's say ktk sayari nyengine ambayo hatujawahi kuifikia kuwe na viumbe hai wawe na mambo yao,utamaduni wao,teknolojia zao n.k lkn kwa bahati mbaya kukatokea angamizo ambalo hakutafanya chochote kibaki! I mean chochote kile hata hiyo sayari isibaki yote iteketee au hata Kama ikibaki basi kumbukumbu zote za juu ya uhai kuhusu hiyo sayari vyote vikafutika na kuteketea!.. then baada ya muda mrefu au mfupi binadamu aweze kufika kwenye sayari hiyo au eneo hilo ilipokuwepo sayari husika na atakapofanya tafiti asipate taarifa yoyote ya kwamba sayari husika iliwahi kuwa na uhai!,japo kabla ya angamizo ilikuwa na uhai!.. hapo ndipo swali langu linapokuja je, ulimwengu hauna namna yoyote ya utunzaji wa kumbukumbu(taarifa) juu ya kitu fulani kuwa kiliwahi kuwepo hata kama kilishapotea kitambo..???
Au hili swali litahitaji kujua laws zote za ulimwengu zinavyofanya kazi..? Kama ulimwengu haubakizi(hautunzi taarifa) kwanini iwe hivyo..?
Au bado hatujapata ujuzi wa kudetect ishara zote zinazozalishwa ktk ulimwengu ndio maana tunakosa majibu baadhi ya maswali..? Namaanisha taarifa huenda zipo lkn hatujajua namna ya kuzidetect hii inakuwa na mfano wa kiziwi anaweza kuona mwanga wa radi ila hasikii muungurumo!.. 😅
Naishia hapo kwa walionielewa karibuni tujadili.