Je, ulimwengu una mwisho? Bonus question: What is nothing?

Je, ulimwengu una mwisho? Bonus question: What is nothing?

The dumb Professor

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2023
Posts
852
Reaction score
1,978
Kwa kwenda juu na kushuka chini ulimwengu una mwisho?

Wazee wa zamani walijua Kijiji wanachoishi ndiyo mwisho was dunia na hakuna maisha nje ya Kijiji. Baadae maendeleo yakafanya watu wajue hakuna maisha nje ya bara lao na wamezungukwa kote na maji tu.

Walipotengeneza meli wakajua kumbe Kuna mabara mengine ila dunia ndiyo mwisho. Walipogundua telescope wakagundua kumbe tupo ndani ya solar system iliyo ndani ya galaxy, galaxy Ina nyota zaidi ya Billioni 400.

Na bado galaxy tulizoziona ni zaidi ya trilioni 2 kwenye observable universe.

Key word ni Observable. Observable haimaanishi kwamba ndiyo mwisho was uwezo was vifaa tulivyo navyo kuona. Sio uwezo wa Bali ndio mwisho wa wigo tunaoweza kuona.

Maana nje ya hapo ulimwengu unatanuka Kwa Kasi kubwa kuliko spidi ya mwanga. Kwahyo mwanga wa hizo nyota kamwr hauwezi kutufikia.

Hence inaitwa unobservable universe. Yani hata tupewe miaka milioni ya teknolojia hatuwezi kupaonaa.

Lakini tuachane na uwezo wa kuona au kutokuona Leo swali langu ni la kifilosofia zaidi, je ulimwengu una mwisho?

Kama mwisho haupo inawezekanaje? Yani ulimwengu uendeleee milele na milele bila kubwa na ukomo?

Ina maana hauna kati pembeni Wala juu? Na kama Kuna mwisho, nje yake Kuna Nini?

Je, kuna utupu TU (space)? Maana hata hicho ni kitu. Kama Hamna kitu, what is Nothing? Is nothing possible?

Kama hakuna kitu na ukasimama kwenye ukingo wa ulimwengu, ukiamua kwenda huko nje itawezekana?

Kitu kwenda kwenye kusiko na kitu?

Kuna baadhi ya wanafizikia wanaamini ulimwengu ni kama mpira, kwamba hii spacetime tunayoishi imecurve Kwa degree ndogo sana na inatengeneza mzunguko kama mpira/yai.

Kwahiyo ukisafiri Kwa kunyooka baada ya mda mrefu karibia milele utajikuta umerudi ulipoanzia. Lakini hiyo siyo solution ya swali langu, maana litabaki palepale; nje ya huo mpira Kuna Nini?

Na labda ukitoka nje ya ulimwengu ukasafiri mbali sana utakutana na ulimwengu mwingine. Lakini Hata kama Kuna limwengu nyingi nje yake Kuna Nini?

Wazee wa multiple universes, Schrodinger's cat mnasemaje? Multiple timelines zinawezekanaje?

Au ulimwengu mzima upon ndani ya bakuli kwenye sebule ya Mungu? Hays huo ulimwengu wa Mungu hauna mwisho? Mungu ana mwisho wa upeo?

How significant are we? Maana ukizoom out ni sawa tunaishi juu ya jiwe linaloelea angani tunaloliita dunia. ila ukizoom out Hilo jiwe linakuwa kama kamchanga kadogo, kama ulimwengu (observable) ni bahari basi sisi tunaishi kwenye kamchanga kamoja kwenye ufukwe wa hiyo bahari. Na vipi tukizoom in? Kuna mwisho?

Mwanzoni wanasayansi kama Kina john Dalton waliamini mwisho ni kwenye atoms.

Baadae wakagundua hizo atoms zimeundwa na electrons protons and neutrons baadae wakagundua quarks, gluons, higgs, bosons, neutrinos nk. Nk.

Na wanazidi kugundua kadri teknolojia inavyokua. Je, Nako Kuna mwisho? Au na penyewe Kuna ukomo wa observation?

Does nothing exist? What is it?
Is it the absence of things?
Space time itself is a thing.
Does time exist when there are no things?

Huko nje ya ulimwengu Kuna muda?

Niishie hapa maana naona maswali ni mengi yasiyo na majibu.
 
Kwa nn usigundue kitu kama una maswali fikirishi kama haya mkuu? Mbaya zaidi hata mradi wa milion 5 tu utakushinda...

Turudi kwenye mada..

Can you define the reality within the term "universe"?. What are the differences between universe and the world?

I think the world universe is beyond the term "world". Universe imebakia kwenye theoretical explanation na sijui kama ina exist. Kilichokuwa exist unachoweza kukiona ni dunia "world".

Universe kuna namna imesimama kama mfumo ambao umesimama solely. Hautegemei kitu kingine kuexist
 
Ulimwengu hauna mwanzo wala mwisho.

Ulimwengu ulikuwepo, upo na utaendelea kuwepo milele.
Ulimwengu ni mfumo.. mfumo haunaga chanzo wala kikomo unless utenguliwe mana haufi. Ulimwengu ni neno linalosimama kuelezea mfumo unaomiliki hivo viatomi, sijui nyota nk. So uwepo wake unajitegemea na unasimama bila kuhusianishwa na kutegemea vitu vingine. Yani ni mhimili mkuu kama unavyosema "mungu" ambaye ni mfumo unaomiliki viumbe au vitu vingine... huwez kujua chanzo chake na hauwez kuufikiria mwisho wake
 
Kwa kwenda juu na kushuka chini ulimwengu una mwisho?

Wazee wa zamani walijua Kijiji wanachoishi ndiyo mwisho was dunia na hakuna maisha nje ya Kijiji.

Baadae maendeleo yakafanya watu wajue hakuna maisha nje ya bara lao na wamezungukwa kote na maji tu.

Walipotengeneza meli wakajua kumbe Kuna mabara mengine ila dunia ndiyo mwisho.

Walipogundua telescope wakagundua kumbe tupo ndani ya solar system iliyo ndani ya galaxy, galaxy Ina nyota zaidi ya Billioni 400.

Na bado galaxy tulizoziona ni zaidi ya trilioni 2 kwenye observable universe.

Key word ni Observable. Observable haimaanishi kwamba ndiyo mwisho was uwezo was vifaa tulivyo navyo kuona. Sio uwezo wa Bali ndio mwisho wa wigo tunaoweza kuona.
Maana nje ya hapo ulimwengu unatanuka Kwa Kasi kubwa kuliko spidi ya mwanga. Kwahyo mwanga wa hizo nyota kamwr hauwezi kutufikia.

Hence inaitwa unobservable universe. Yani hata tupewe miaka milioni ya teknolojia hatuwezi kupaonaa.

Lakini tuachane na uwezo wa kuona au kutokuona Leo swali langu ni la kifilosofia zaidi, je ulimwengu una mwisho?

Kama mwisho haupo inawezekanaje? Yani ulimwengu uendeleee milele na milele bila kubwa na ukomo?

Ina maana hauna kati pembeni Wala juu? Na kama Kuna mwisho, nje yake Kuna Nini?

Je, kuna utupu TU (space)? Maana hata hicho ni kitu. Kama Hamna kitu, what is Nothing? Is nothing possible?

Kama hakuna kitu na ukasimama kwenye ukingo wa ulimwengu, ukiamua kwenda huko nje itawezekana?

Kitu kwenda kwenye kusiko na kitu?

Kuna baadhi ya wanafizikia wanaamini ulimwengu ni kama mpira, kwamba hii spacetime tunayoishi imecurve Kwa degree ndogo sana na inatengeneza mzunguko kama mpira/yai.
Kwahyo ukisafiri Kwa kunyooka baada ya mda mrefu karibia milele utajikuta umerudi ulipoanzia.
Lakini hiyo siyo solution ya swali langu, maana litabaki palepale; nje ya huo mpira Kuna Nini?

Na labda ukitoka nje ya ulimwengu ukasafiri mbali sana utakutana na ulimwengu mwingine.

Lakini Hata kama Kuna limwengu nyingi nje yake Kuna Nini?

Wazee wa multiple universes, Schrodinger's cat mnasemaje?

Multiple timelines zinawezekanaje?

Au ulimwengu mzima upon ndani ya bakuli kwenye sebule ya Mungu?
Hays huo ulimwengu wa Mungu hauna mwisho? Mungu ana mwisho wa upeo?

How significant are we? Maana ukizoom out ni sawa tunaishi juu ya jiwe linaloelea angani tunaloliita dunia. ila ukizoom out Hilo jiwe linakuwa kama kamchanga kadogo, kama ulimwengu (observable) ni bahari basi sisi tunaishi kwenye kamchanga kamoja kwenye ufukwe wa hiyo bahari. Na vipi tukizoom in? Kuna mwisho?

Mwanzoni wanasayansi kama Kina john Dalton waliamini mwisho ni kwenye atoms.

Baadae wakagundua hizo atoms zimeundwa na electrons protons and neutrons baadae wakagundua quarks, gluons, higgs, bosons, neutrinos nk. Nk.

Na wanazidi kugundua kadri teknolojia inavyokua. Je, Nako Kuna mwisho? Au na penyewe Kuna ukomo wa observation?

Does nothing exist? What is it?
Is it the absence of things?
Space time itself is a thing.
Does time exist when there are no things?

Huko nje ya ulimwengu Kuna muda?

Niishie hapa maana naona maswali ni mengi yasiyo na majibu.
Although time pia sio kitu halisi.. muda ni kipimo kilichofikiriwa kupima mabadiliko kwenye uhalisia uliopo. Kama hakuna mabadilko ya kwenye kitu halisi huwezi kupima muda. Mana over time watu wanazeeka, usiku unaisha na kuwa mchana... miti au viumbe vinakua.. hali ya hewa inabadilika nk.

Nasema kimefikiriwa kwa sababu muda huu tulionao haufanani. Kuna baadhi ya jamii wana siku 3 katika wiki moja. So hawa hatufanani nao muda. Hakuna namna ya kuupima muda zaidi ya kuangalia mabadiliko ya hali ya hewa, giza na mchana, au kukua kwa viumbe. So mm nadhani lazima ukubali kuwa katika maisha yetu kuna existance of "binary opposition"

Even nothing ukichekecha kiundani kabisa utakuta kuna vitu vingi vimepuuzwa kuangaliwa ndo mana ikatokea hiyo reality ya "nothing"
 
Ulimwengu ni mfumo.. mfumo haunaga chanzo wala kikomo unless utenguliwe mana haufi. Ulimwengu ni neno linalosimama kuelezea mfumo unaomiliki hivo viatomi, sijui nyota nk. So uwepo wake unajitegemea na unasimama bila kuhusianishwa na kutegemea vitu vingine. Yani ni mhimili mkuu kama unavyosema "mungu" ambaye ni mfumo unaomiliki viumbe au vitu vingine... huwez kujua chanzo chake na hauwez kuufikiria mwisho wake
Huyo Mungu hayupo.

Hakuna kitu kiitwacho Mungu katika uhalisia.
 
Huyo Mungu hayupo.

Hakuna kitu kiitwacho Mungu katika uhalisia.
Rejea hoja yangu.. mungu ni mfumo, nimefananisha na neno ulimwengu kama vyote viwili kuw ni mifumo. Haina mwanzo wala mwisho.. ndio mana huwez kujua wala kudhani mwisho wa ulimwengu. Same to mungu.. hata ukiulizwa ulimwengu uko wapi huna la kusema, same to mungu. Both existing everywhere
 
Kwa kwenda juu na kushuka chini ulimwengu una mwisho?

Wazee wa zamani walijua Kijiji wanachoishi ndiyo mwisho was dunia na hakuna maisha nje ya Kijiji. Baadae maendeleo yakafanya watu wajue hakuna maisha nje ya bara lao na wamezungukwa kote na maji tu.

Walipotengeneza meli wakajua kumbe Kuna mabara mengine ila dunia ndiyo mwisho. Walipogundua telescope wakagundua kumbe tupo ndani ya solar system iliyo ndani ya galaxy, galaxy Ina nyota zaidi ya Billioni 400.

Na bado galaxy tulizoziona ni zaidi ya trilioni 2 kwenye observable universe.

Key word ni Observable. Observable haimaanishi kwamba ndiyo mwisho was uwezo was vifaa tulivyo navyo kuona. Sio uwezo wa Bali ndio mwisho wa wigo tunaoweza kuona.

Maana nje ya hapo ulimwengu unatanuka Kwa Kasi kubwa kuliko spidi ya mwanga. Kwahyo mwanga wa hizo nyota kamwr hauwezi kutufikia.

Hence inaitwa unobservable universe. Yani hata tupewe miaka milioni ya teknolojia hatuwezi kupaonaa.

Lakini tuachane na uwezo wa kuona au kutokuona Leo swali langu ni la kifilosofia zaidi, je ulimwengu una mwisho?

Kama mwisho haupo inawezekanaje? Yani ulimwengu uendeleee milele na milele bila kubwa na ukomo?

Ina maana hauna kati pembeni Wala juu? Na kama Kuna mwisho, nje yake Kuna Nini?

Je, kuna utupu TU (space)? Maana hata hicho ni kitu. Kama Hamna kitu, what is Nothing? Is nothing possible?

Kama hakuna kitu na ukasimama kwenye ukingo wa ulimwengu, ukiamua kwenda huko nje itawezekana?

Kitu kwenda kwenye kusiko na kitu?

Kuna baadhi ya wanafizikia wanaamini ulimwengu ni kama mpira, kwamba hii spacetime tunayoishi imecurve Kwa degree ndogo sana na inatengeneza mzunguko kama mpira/yai.

Kwahiyo ukisafiri Kwa kunyooka baada ya mda mrefu karibia milele utajikuta umerudi ulipoanzia. Lakini hiyo siyo solution ya swali langu, maana litabaki palepale; nje ya huo mpira Kuna Nini?

Na labda ukitoka nje ya ulimwengu ukasafiri mbali sana utakutana na ulimwengu mwingine. Lakini Hata kama Kuna limwengu nyingi nje yake Kuna Nini?

Wazee wa multiple universes, Schrodinger's cat mnasemaje? Multiple timelines zinawezekanaje?

Au ulimwengu mzima upon ndani ya bakuli kwenye sebule ya Mungu? Hays huo ulimwengu wa Mungu hauna mwisho? Mungu ana mwisho wa upeo?

How significant are we? Maana ukizoom out ni sawa tunaishi juu ya jiwe linaloelea angani tunaloliita dunia. ila ukizoom out Hilo jiwe linakuwa kama kamchanga kadogo, kama ulimwengu (observable) ni bahari basi sisi tunaishi kwenye kamchanga kamoja kwenye ufukwe wa hiyo bahari. Na vipi tukizoom in? Kuna mwisho?

Mwanzoni wanasayansi kama Kina john Dalton waliamini mwisho ni kwenye atoms.

Baadae wakagundua hizo atoms zimeundwa na electrons protons and neutrons baadae wakagundua quarks, gluons, higgs, bosons, neutrinos nk. Nk.

Na wanazidi kugundua kadri teknolojia inavyokua. Je, Nako Kuna mwisho? Au na penyewe Kuna ukomo wa observation?

Does nothing exist? What is it?
Is it the absence of things?
Space time itself is a thing.
Does time exist when there are no things?

Huko nje ya ulimwengu Kuna muda?

Niishie hapa maana naona maswali ni mengi yasiyo na majibu.
Hauna mwisho kama namba.Kula beer
 
Rejea hoja yangu.. mungu ni mfumo, nimefananisha na neno ulimwengu kama vyote viwili kuw ni mifumo. Haina mwanzo wala mwisho.. ndio mana huwez kujua wala kudhani mwisho wa ulimwengu. Same to mungu.. hata ukiulizwa ulimwengu uko wapi huna la kusema, same to mungu. Both existing everywhere
Ulimwengu upo na unapimika na kuonekana upo.

Mungu mmemtunga vichwani mwenu wala haonekani wala kujulikana yupo.
 
Kwa kifupi hayo maswali uliyojiuliza kamwe hauwezi kupata majibu kwa sasa. Ni mystery ambayo inathibitisha uwepo wa powers beyond humans.

Sayansi haina majibu kuhusu hayo na inafikia ukomo kama akili zetu tu...we can never tell what lies beyond the observable universe..

Mimi binafsi napata kila sababu ya kuamini katika Mungu na maelezo aliyoyatoa katika vitabu vilivyovuviwa kuhusiana na ulimwengu.

In short..hakuna majibu mpaka yatakapojibiwa na Mungu mwenyewe katika kiyama. Ukijaribu kuwaza na kutafuta majibu ya hayo maswali ni kujilisha upepo, kwa vile hayapo kwa sasa.
 
Kwa kwenda juu na kushuka chini ulimwengu una mwisho?

Wazee wa zamani walijua Kijiji wanachoishi ndiyo mwisho was dunia na hakuna maisha nje ya Kijiji. Baadae maendeleo yakafanya watu wajue hakuna maisha nje ya bara lao na wamezungukwa kote na maji tu.

Walipotengeneza meli wakajua kumbe Kuna mabara mengine ila dunia ndiyo mwisho. Walipogundua telescope wakagundua kumbe tupo ndani ya solar system iliyo ndani ya galaxy, galaxy Ina nyota zaidi ya Billioni 400.

Na bado galaxy tulizoziona ni zaidi ya trilioni 2 kwenye observable universe.

Key word ni Observable. Observable haimaanishi kwamba ndiyo mwisho was uwezo was vifaa tulivyo navyo kuona. Sio uwezo wa Bali ndio mwisho wa wigo tunaoweza kuona.

Maana nje ya hapo ulimwengu unatanuka Kwa Kasi kubwa kuliko spidi ya mwanga. Kwahyo mwanga wa hizo nyota kamwr hauwezi kutufikia.

Hence inaitwa unobservable universe. Yani hata tupewe miaka milioni ya teknolojia hatuwezi kupaonaa.

Lakini tuachane na uwezo wa kuona au kutokuona Leo swali langu ni la kifilosofia zaidi, je ulimwengu una mwisho?

Kama mwisho haupo inawezekanaje? Yani ulimwengu uendeleee milele na milele bila kubwa na ukomo?

Ina maana hauna kati pembeni Wala juu? Na kama Kuna mwisho, nje yake Kuna Nini?

Je, kuna utupu TU (space)? Maana hata hicho ni kitu. Kama Hamna kitu, what is Nothing? Is nothing possible?

Kama hakuna kitu na ukasimama kwenye ukingo wa ulimwengu, ukiamua kwenda huko nje itawezekana?

Kitu kwenda kwenye kusiko na kitu?

Kuna baadhi ya wanafizikia wanaamini ulimwengu ni kama mpira, kwamba hii spacetime tunayoishi imecurve Kwa degree ndogo sana na inatengeneza mzunguko kama mpira/yai.

Kwahiyo ukisafiri Kwa kunyooka baada ya mda mrefu karibia milele utajikuta umerudi ulipoanzia. Lakini hiyo siyo solution ya swali langu, maana litabaki palepale; nje ya huo mpira Kuna Nini?

Na labda ukitoka nje ya ulimwengu ukasafiri mbali sana utakutana na ulimwengu mwingine. Lakini Hata kama Kuna limwengu nyingi nje yake Kuna Nini?

Wazee wa multiple universes, Schrodinger's cat mnasemaje? Multiple timelines zinawezekanaje?

Au ulimwengu mzima upon ndani ya bakuli kwenye sebule ya Mungu? Hays huo ulimwengu wa Mungu hauna mwisho? Mungu ana mwisho wa upeo?

How significant are we? Maana ukizoom out ni sawa tunaishi juu ya jiwe linaloelea angani tunaloliita dunia. ila ukizoom out Hilo jiwe linakuwa kama kamchanga kadogo, kama ulimwengu (observable) ni bahari basi sisi tunaishi kwenye kamchanga kamoja kwenye ufukwe wa hiyo bahari. Na vipi tukizoom in? Kuna mwisho?

Mwanzoni wanasayansi kama Kina john Dalton waliamini mwisho ni kwenye atoms.

Baadae wakagundua hizo atoms zimeundwa na electrons protons and neutrons baadae wakagundua quarks, gluons, higgs, bosons, neutrinos nk. Nk.

Na wanazidi kugundua kadri teknolojia inavyokua. Je, Nako Kuna mwisho? Au na penyewe Kuna ukomo wa observation?

Does nothing exist? What is it?
Is it the absence of things?
Space time itself is a thing.
Does time exist when there are no things?

Huko nje ya ulimwengu Kuna muda?

Niishie hapa maana naona maswali ni mengi yasiyo na majibu.
Umeuliza maswali yote ambayo huwa nauluza na kujiuliza pasipo majibu.
 
Maswali unayouliza chief hata Malaika hawajui majibu yake. Anayeufahamu ulimwengu mzima ni mmoja tu, ambaye anaweza kufika kila mahali pia ni mmoja tu.
Kwa sisi watu wa Imani tunaishia hapo.
 
Kwa kifupi hayo maswali uliyojiuliza kamwe hauwezi kupata majibu kwa sasa. Ni mystery ambayo inathibitisha uwepo wa powers beyond humans.

Sayansi haina majibu kuhusu hayo na inafikia ukomo kama akili zetu tu...we can never tell what lies beyond the observable universe..

Mimi binafsi napata kila sababu ya kuamini katika Mungu na maelezo aliyoyatoa katika vitabu vilivyovuviwa kuhusiana na ulimwengu.

In short..hakuna majibu mpaka yatakapojibiwa na Mungu mwenyewe katika kiyama. Ukijaribu kuwaza na kutafuta majibu ya hayo maswali ni kujilisha upepo, kwa vile hayapo kwa sasa.
Kama huna majibu ya maswali haya, Ulijuaje kuna Mungu?

Hii conclusion ya kwamba Mungu yupo uliipata kutoka kwenye utafiti upi?
 
Back
Top Bottom