The dumb Professor
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 852
- 1,978
Kwa kwenda juu na kushuka chini ulimwengu una mwisho?
Wazee wa zamani walijua Kijiji wanachoishi ndiyo mwisho was dunia na hakuna maisha nje ya Kijiji. Baadae maendeleo yakafanya watu wajue hakuna maisha nje ya bara lao na wamezungukwa kote na maji tu.
Walipotengeneza meli wakajua kumbe Kuna mabara mengine ila dunia ndiyo mwisho. Walipogundua telescope wakagundua kumbe tupo ndani ya solar system iliyo ndani ya galaxy, galaxy Ina nyota zaidi ya Billioni 400.
Na bado galaxy tulizoziona ni zaidi ya trilioni 2 kwenye observable universe.
Key word ni Observable. Observable haimaanishi kwamba ndiyo mwisho was uwezo was vifaa tulivyo navyo kuona. Sio uwezo wa Bali ndio mwisho wa wigo tunaoweza kuona.
Maana nje ya hapo ulimwengu unatanuka Kwa Kasi kubwa kuliko spidi ya mwanga. Kwahyo mwanga wa hizo nyota kamwr hauwezi kutufikia.
Hence inaitwa unobservable universe. Yani hata tupewe miaka milioni ya teknolojia hatuwezi kupaonaa.
Lakini tuachane na uwezo wa kuona au kutokuona Leo swali langu ni la kifilosofia zaidi, je ulimwengu una mwisho?
Kama mwisho haupo inawezekanaje? Yani ulimwengu uendeleee milele na milele bila kubwa na ukomo?
Ina maana hauna kati pembeni Wala juu? Na kama Kuna mwisho, nje yake Kuna Nini?
Je, kuna utupu TU (space)? Maana hata hicho ni kitu. Kama Hamna kitu, what is Nothing? Is nothing possible?
Kama hakuna kitu na ukasimama kwenye ukingo wa ulimwengu, ukiamua kwenda huko nje itawezekana?
Kitu kwenda kwenye kusiko na kitu?
Kuna baadhi ya wanafizikia wanaamini ulimwengu ni kama mpira, kwamba hii spacetime tunayoishi imecurve Kwa degree ndogo sana na inatengeneza mzunguko kama mpira/yai.
Kwahiyo ukisafiri Kwa kunyooka baada ya mda mrefu karibia milele utajikuta umerudi ulipoanzia. Lakini hiyo siyo solution ya swali langu, maana litabaki palepale; nje ya huo mpira Kuna Nini?
Na labda ukitoka nje ya ulimwengu ukasafiri mbali sana utakutana na ulimwengu mwingine. Lakini Hata kama Kuna limwengu nyingi nje yake Kuna Nini?
Wazee wa multiple universes, Schrodinger's cat mnasemaje? Multiple timelines zinawezekanaje?
Au ulimwengu mzima upon ndani ya bakuli kwenye sebule ya Mungu? Hays huo ulimwengu wa Mungu hauna mwisho? Mungu ana mwisho wa upeo?
How significant are we? Maana ukizoom out ni sawa tunaishi juu ya jiwe linaloelea angani tunaloliita dunia. ila ukizoom out Hilo jiwe linakuwa kama kamchanga kadogo, kama ulimwengu (observable) ni bahari basi sisi tunaishi kwenye kamchanga kamoja kwenye ufukwe wa hiyo bahari. Na vipi tukizoom in? Kuna mwisho?
Mwanzoni wanasayansi kama Kina john Dalton waliamini mwisho ni kwenye atoms.
Baadae wakagundua hizo atoms zimeundwa na electrons protons and neutrons baadae wakagundua quarks, gluons, higgs, bosons, neutrinos nk. Nk.
Na wanazidi kugundua kadri teknolojia inavyokua. Je, Nako Kuna mwisho? Au na penyewe Kuna ukomo wa observation?
Does nothing exist? What is it?
Is it the absence of things?
Space time itself is a thing.
Does time exist when there are no things?
Huko nje ya ulimwengu Kuna muda?
Niishie hapa maana naona maswali ni mengi yasiyo na majibu.
Wazee wa zamani walijua Kijiji wanachoishi ndiyo mwisho was dunia na hakuna maisha nje ya Kijiji. Baadae maendeleo yakafanya watu wajue hakuna maisha nje ya bara lao na wamezungukwa kote na maji tu.
Walipotengeneza meli wakajua kumbe Kuna mabara mengine ila dunia ndiyo mwisho. Walipogundua telescope wakagundua kumbe tupo ndani ya solar system iliyo ndani ya galaxy, galaxy Ina nyota zaidi ya Billioni 400.
Na bado galaxy tulizoziona ni zaidi ya trilioni 2 kwenye observable universe.
Key word ni Observable. Observable haimaanishi kwamba ndiyo mwisho was uwezo was vifaa tulivyo navyo kuona. Sio uwezo wa Bali ndio mwisho wa wigo tunaoweza kuona.
Maana nje ya hapo ulimwengu unatanuka Kwa Kasi kubwa kuliko spidi ya mwanga. Kwahyo mwanga wa hizo nyota kamwr hauwezi kutufikia.
Hence inaitwa unobservable universe. Yani hata tupewe miaka milioni ya teknolojia hatuwezi kupaonaa.
Lakini tuachane na uwezo wa kuona au kutokuona Leo swali langu ni la kifilosofia zaidi, je ulimwengu una mwisho?
Kama mwisho haupo inawezekanaje? Yani ulimwengu uendeleee milele na milele bila kubwa na ukomo?
Ina maana hauna kati pembeni Wala juu? Na kama Kuna mwisho, nje yake Kuna Nini?
Je, kuna utupu TU (space)? Maana hata hicho ni kitu. Kama Hamna kitu, what is Nothing? Is nothing possible?
Kama hakuna kitu na ukasimama kwenye ukingo wa ulimwengu, ukiamua kwenda huko nje itawezekana?
Kitu kwenda kwenye kusiko na kitu?
Kuna baadhi ya wanafizikia wanaamini ulimwengu ni kama mpira, kwamba hii spacetime tunayoishi imecurve Kwa degree ndogo sana na inatengeneza mzunguko kama mpira/yai.
Kwahiyo ukisafiri Kwa kunyooka baada ya mda mrefu karibia milele utajikuta umerudi ulipoanzia. Lakini hiyo siyo solution ya swali langu, maana litabaki palepale; nje ya huo mpira Kuna Nini?
Na labda ukitoka nje ya ulimwengu ukasafiri mbali sana utakutana na ulimwengu mwingine. Lakini Hata kama Kuna limwengu nyingi nje yake Kuna Nini?
Wazee wa multiple universes, Schrodinger's cat mnasemaje? Multiple timelines zinawezekanaje?
Au ulimwengu mzima upon ndani ya bakuli kwenye sebule ya Mungu? Hays huo ulimwengu wa Mungu hauna mwisho? Mungu ana mwisho wa upeo?
How significant are we? Maana ukizoom out ni sawa tunaishi juu ya jiwe linaloelea angani tunaloliita dunia. ila ukizoom out Hilo jiwe linakuwa kama kamchanga kadogo, kama ulimwengu (observable) ni bahari basi sisi tunaishi kwenye kamchanga kamoja kwenye ufukwe wa hiyo bahari. Na vipi tukizoom in? Kuna mwisho?
Mwanzoni wanasayansi kama Kina john Dalton waliamini mwisho ni kwenye atoms.
Baadae wakagundua hizo atoms zimeundwa na electrons protons and neutrons baadae wakagundua quarks, gluons, higgs, bosons, neutrinos nk. Nk.
Na wanazidi kugundua kadri teknolojia inavyokua. Je, Nako Kuna mwisho? Au na penyewe Kuna ukomo wa observation?
Does nothing exist? What is it?
Is it the absence of things?
Space time itself is a thing.
Does time exist when there are no things?
Huko nje ya ulimwengu Kuna muda?
Niishie hapa maana naona maswali ni mengi yasiyo na majibu.