MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Mimi hapa nilipo nchini Herzegovina ( yalipo Makazi yangu ya Kudumu ) kiukweli Ninalia mno ila nashangaa Mtaa wa Pili kuna Mijitu naiona ndiyo Kwanza tu inaagiza Supu na Chapati, Mwingine anaagiza Bia ya 19 huku akicheka zake tu na lingine linapanga Kete za Kucheza Pool Table.
Je, nawe huko uliko Wanalia au Hawajali?
Je, nawe huko uliko Wanalia au Hawajali?