Bexb
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 715
- 1,619
Habari ya jioni wakuu.
Kuna baadhi ya watu walifungua/kusajili kampuni lakini wakawa kama wameitelekeza iwe ni kwa kufanyia kazi kwa muda mfupi na kuiacha ama kutoifanyia kazi kabisa baada ya kuisajili.
Mjue kuwa taarifa zenu zipo TRA tena nyie mliofungua kampuni kuanzia mwaka 2018 ndio hadi TIN zenu zinasoma madeni na fines tu huko.
Hakikisha kama ulifanya huo usajili wa kampuni na hukufungua ama kujisajili katika mfumo wa TRA unafanya hivyo haraka dana kabla deni halijazidi kuwa kibwa zaidi.
Kama utakia na swali uliza hapa hapa
Kuna baadhi ya watu walifungua/kusajili kampuni lakini wakawa kama wameitelekeza iwe ni kwa kufanyia kazi kwa muda mfupi na kuiacha ama kutoifanyia kazi kabisa baada ya kuisajili.
Mjue kuwa taarifa zenu zipo TRA tena nyie mliofungua kampuni kuanzia mwaka 2018 ndio hadi TIN zenu zinasoma madeni na fines tu huko.
Hakikisha kama ulifanya huo usajili wa kampuni na hukufungua ama kujisajili katika mfumo wa TRA unafanya hivyo haraka dana kabla deni halijazidi kuwa kibwa zaidi.
Kama utakia na swali uliza hapa hapa