Je ulishawahi kujamba/Jambiwa kwenye dala dala

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Kuna kamsemo kanasema kujamba ni kupumua,
Je ulishawahi kujamba au kujambiwa kwenye daladala? Vipi ilikuaje.


Note
Wenye private car na watoto wa kishua ambao hamjawai kupanda dala dala huu uzi hauwausu piteni hivi

Cc Zero IQ
 
Mimi nilijamba Jana wakati tunatoka marimbe Saut usiku watu walitafutana kwenye gar afu nilikuwa nimekaa katikati, kwa jinsi nilivyo hakuna aliyenihis wakaanza kumhisi jamaa mmoja bonge bonge flan hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mabonge wanatabu sana ya kusingiziwa vijambo

Cc Zero IQ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…