Je, ulishawahi kukutana na kitu cha kutisha usiku? Pita hapa tupeane uzoefu

Oya ngaillo malizia hii

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Kama hilo koti unalo naomba uniuzie nimpe Shemeji yako

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Dah we jamaa ni shidaaa kwenye kusimulia...maana ulichonifanya
Nimeshacheka hapa mpaka basi...eti wakaniangalia fwaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Ebu nisaidie hapa kujua...
Hili kundi la watu waliokuwa uchi lilikuwa mbele yako uelekeo wa nyumbani how come ukaelekea walipo badala ya kurudi ulipotoka

All in all umenichekesha sanaaaa

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Miaka ya 2006 nikiwa secondary school boarding tulitoroka maeneo ya shule na kwenda kwenye shamba la machungwa ya shule tukiwa na viroba tuliiba machungwa kwa kuvuna Hatari tukijaza kwenye viroba tukiwa Kama mtu sita Hivi sasa baada ya kuvuna Kama dakika kumi Hivi tunaona kikundi cha watu wananyatia nao kwenye shamba lahaula tulitimua mbio za Hatari kwenye makorongo kuna jamaa yangu mmoja aliyaangusha machungwa yote korongoni sisi mbio mpaka bwenini kumbe baadae kuja kushtuka wale pia walikuwa wezi wenzetu wa machungwa ingawa walikuja kivyaovyao kesho yake asubuhi ulikuwa bonge moja la msala kwa headmaster kuhusu Yale machungwa yaliyotapakaa korongoni ilipita inspection ya Hatari. ingawa machungwa mengine tuliyaficha kwenye Dari na kingine cha ajabu asubuhi pale walikuta bonge la chatu maeneo ya shamba la machungwa wakaliua Daaah ilikuwa Kama Mungu tu Usiku ule hizi njaa nyingine.... I miss those days at school...

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Hatari hizi siyo mada za kusoma usiku .[emoji32][emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]
 
Niliota ccm imechagua kiongozi mwenye sifa kama za Mugabe. Sitasahau siku hio

cephalocaudo the greatest
 
Tuchukulie upo
barabarani,upande wa
kulia na kushoto kuna
nyumba zilizojipanga
kwa uelekeo wa
barabara...sasa mimi
bedui ndo nanyooka
kuifata bara iendako,si
ndo nikaangalia
upande wa kulia sasa!!
(note:hizi nyumba
zimejengwa karibu
kabisa na hiki kinjia)
laiti ingekuwa
barabara kuu,alama ya
X ingewahusu!
U got me nawoo?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyo mbwa bado yupo?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bila Shaka walikuwa wafanyakazi kutoka kigoma
 
[emoji23]mfuko wa cement polen aisee
 
Tena wakijua kuwa huna madhara kwao wala hawaangaiki na wewe.
Anko wangu aliwah kunihadithia kwamba wakat anasoma huko Tunduru kuna siku waliwasindikiza wenzao stendi wakapande mabasi ya alfajir (miaka hiyo safar huanza saa 10 alfajiri)Basi baada ya kuhakikisha wenzao wamepanda basi wao wakaona haina haja ya kubaki pale wakaona warud shule.Ni mwendo kidogo na ni porini.Walipokuwa katikati ya safar Porini wakakutana na msafara.
Msafara ulikuwa unaongozwa na vikongwe wawili (Babu mbele na bibi nyuma)katikati wapo watu kama kumi wamebebeshwa mizigo ya kuni.
Anko alipowaona wale jamaa na mwenzie wao wakawapisha wale watu (Babu na bibi walijifunga nguo nyeus like kaniki)hawakusemeshana,so hawa wazee wa feva za usiku kama hawana na shida na wewe wanakuacha ila wale vibwengo watakua wanakuchezeachezea tu kwa bitimbwi


May Allah bless Me and You
 
Nimeelewa mwl...
Naona nilicheka sana mpaka nikawa sikuiona hii maana umeielezea hata kwenye story maana imebidi niirudie (wakanitizama fwaa)
Mi nilidhani walikuwa katikati ya barabara

Nazan kwa huu mwaka huu uzi wa tatu kunichechekesha sana...

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…