Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Mamaaae.

Kwanza ngoja niliieeee.

Naanza nikiwa chuo mwaka wa tatu nilibahatika kutokea kumpenda mdada mmoja kutoka moyoni yaani ile moyoni sio ya kuigizs yule dada aseme nini mimi nisifanye.

Akiumwa Hospitali pembeni niko,
Chakula maji kiuhalisia kwa asilimia kubwa nilikuwa naprovider mwenyewe.

Ila Yule dada viwango vyake vya kunielewa nadhani havikufika kwangu,

Katika kufanya yote mengine hata sijaayaandika humu wala hakuwa na muda na mimi.

Basi Katika kupata nisicholihitaji nakumbuka nilijifunza pombe hapo hapo.

Ashukiriwe Mungu miaka ikaenda nikaja kupata mwanamke ambaye mimi mwenyewe ndo alinipenda sana tena kwa dhati.

Kale kadada nilikuja kukutana nae ofisi moja ya serikali jamii kuna issue tulikuwa tunafuatilia wote nachokumbuka kwa hasira nikamtoa lunch nilitumia elfu 50 kwa ajili yake anione tu na hela.

Baada ya hapo kaanza kunitafuta na kuniambia ya kuwa nimekachunia nikacheka sana nikasema kiko wapi wewe... mpumbavu mmoja kwendraaaaaaaaaaaa
 
Mzee hukumuwekaa p*mbu
 
I'm bad, and that is Good. I will never be Good, that's not bad. There's no one I will rather be than my self 😟😟😟
 
Mmmh
 
Uzi ulipopita kwenye recent nilikumbuka kuwa nilishawai toa ushuhuda wangu humu... nimetumia almost robo saa kutafuta comment yangu.....


Inshort Da'Vinci Nilikupinga before ila now... nimeamin nothing is parmanent...

Mrejesho niliendelea na binti.. mpaka mwaka jana nikaona kama naforce mapenzi..

nikaamua kumkaushi toka mwezi wa 8 last year na hatujatafutana toka hapo... birthday zangu for the past 8 year alikuwa anajua yeye tuu sio mshabiki wa birthday ila yeye on my birthday alijitaidi iwe day special kwangu... nilivyomkaushia nikasemaa nitamprove wrong on my birthday this year kama atafanya as usual😀


here i am.. hakuna kilichotokea that day... nikaona kumbe i was right.. alikuwa ananiigizia.. but nimepanga birthday yake ikifika i will do the same kama ninavyo fanya miaka yote kumuonesha tu kuwa nilikuwa simuigizii


Selikavu
4/4/2023
 
Usimtafute piga kimya wewe, kwani yeye ndio mwanamke pekee aliyopo duniani?? No Matter how good is she, she can be replaced. Everyone can be replaced. Acha kujipendekeza kwake.
Natamani nikuweke vibao ujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…