Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
Siyo kila mzee amejaliwa busara kuna wazee wengine vyatu kweli kweli kuliko ata uvyatu wa wale vijana wavuta bangi,
Usiombe ukutane na zee fyatu yaani utacheka ufe au utatamani tu huwe unamuona ona,
Kuna wazee wengine ni wakorofi ova sijui nisemeje yaani wao ujana wao walikuwa watukutu kuliko utukutu wenyewe na bado uzeeni wanaendeleza ligi tu,
''Nilipokuwa nakaa wakati ule nipo skuli kulikuwa na mzee mmoja tulimwitaga mzee nati yaani huyu mzee ukilikologa lazima ulinywe ana matusi heavy weight akianza kutukana lazima upite chocho tu basi kitaa kizima walikuwa wanamuheshimu,"
Je wewe ulishawahi kutana na mzee kipanga/korofi/gutabu gwa matusi ?
Usiombe ukutane na zee fyatu yaani utacheka ufe au utatamani tu huwe unamuona ona,
Kuna wazee wengine ni wakorofi ova sijui nisemeje yaani wao ujana wao walikuwa watukutu kuliko utukutu wenyewe na bado uzeeni wanaendeleza ligi tu,
''Nilipokuwa nakaa wakati ule nipo skuli kulikuwa na mzee mmoja tulimwitaga mzee nati yaani huyu mzee ukilikologa lazima ulinywe ana matusi heavy weight akianza kutukana lazima upite chocho tu basi kitaa kizima walikuwa wanamuheshimu,"
Je wewe ulishawahi kutana na mzee kipanga/korofi/gutabu gwa matusi ?