ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,236
- 2,142
Wadau
Moja kwa moja kwenye mada.
Ni ukweli kwamba uchawi upo hata kwenye Biblia imeandikwa. Familia yangu iko kwenye kifungo kibaya cha kichawi na tumemjua huyo aliyetufanyia hivyo baada ya miaka mingi. Evidences ni nyingi toka kwenye vyanzo mbalimbali tofauti , ambavyo vingine havina uhusiano na ndugu yeyote lakini vimemfichua ndugu nyetu huyo huyo... HII HAINA UBISHI WOWOTE .Hii ni baada ya kuhangaika kwa watumishi ,manabii , waganga mbalimbali ambao hawajawahi kuniambia ninakwama wapi...lakini hatimaye nimepata mwanga...Sasa nahitaji msaada jinsi ya kutoka/kujikwamua kwenye kifungo hiki maana najua humu lazima kuna watu waliopitia masahibu kama haya .Jambo hili huwezi kulielewa mpaka likukute.Naomba msaada wenu wakuu
Moja kwa moja kwenye mada.
Ni ukweli kwamba uchawi upo hata kwenye Biblia imeandikwa. Familia yangu iko kwenye kifungo kibaya cha kichawi na tumemjua huyo aliyetufanyia hivyo baada ya miaka mingi. Evidences ni nyingi toka kwenye vyanzo mbalimbali tofauti , ambavyo vingine havina uhusiano na ndugu yeyote lakini vimemfichua ndugu nyetu huyo huyo... HII HAINA UBISHI WOWOTE .Hii ni baada ya kuhangaika kwa watumishi ,manabii , waganga mbalimbali ambao hawajawahi kuniambia ninakwama wapi...lakini hatimaye nimepata mwanga...Sasa nahitaji msaada jinsi ya kutoka/kujikwamua kwenye kifungo hiki maana najua humu lazima kuna watu waliopitia masahibu kama haya .Jambo hili huwezi kulielewa mpaka likukute.Naomba msaada wenu wakuu