kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu mji una laana aisee juzi nimeenda bar moja Gomz nimeagiza choma kaja demu simjui akaanza kula akamalizia pia bia yangu nikaona isiwe kesi niende toilet alafu nisepe ishakuwa jau , si kanifuata toilet akainama na kuniambia anataka kunilipa nilivurugwa sana
Endelea kubisha mkuu lakini huo ndio ukweli.Acha kufananisha utamu wa Jicho na utamu wa vitu vya ajabu ajabu. Hiyo Kyuma unayoisemea nadra sana kuikuta ikiwa mnato na hata joto hakuna Tena.
Hivi mkuu Kahama mjini ni pazuri kiasi chake?..
Huduma muhimu kama maji,fresh foods,sehemu za starehe zipoje?
Hata kama ndiyo ufike na kuanza kula chakula cha mtu bila kukaribishwa? Mazoea gani hayo na hata hamfahamiani😳Hivi unaijua njaa kweli wewe.
Sijui kwanini Taifa limepoteza maadili kiasi hiki na viongozi wetu wapi!
Anyway, hadi mawaziri ndio hivyo tena wengine wapo vitandani kwa mambo ya aibu!
Wanawake wengi ndiyo tabia zenu, yaani mnajikutaga eti kila dume unaloliona lina nyege kwako kumbe sivyo.Hata kama ndiyo ufike na kuanza kula chakula cha mtu bila kukaribishwa? Mazoea gani hayo na hata hamfahamiani😳
Anaweka kwenye uke wake wivu wa nn? Au weka Basi na weweHii hipo hata hapa Sudan hotel ukiingia ndani umo usiku wanawake wanacheza uchi na kuweka chupa za bia ukeni naomba pia serikali iingie usiku Katika hotel ya Sudan kwa chini wajionee jinsi wanawake wanavyosasambua
I mean no malice to anybodyAnaweka kwenye uke wake wivu wa nn? Au weka Basi na wewe
Ndio nashangaa mtu ushambiwa night club mambo hayafanyiki mchana unacha kulala unaenda huko afu unakuja kulalamika hapa...Hizo starehe kwa pesa yako Tanzania sio kisiwa.....hii sio Vatican nchi huru.....amua mambo yako usivunje sheria ukiona huwezi au hutaki basi usiende huko ....mbona rahisi tu ? Nchi huru yenye msingi sheria ! Night clubs zina kibali vyake unaenda kufanya nini huko ?
Uko sahihi biashara ya kuuza miili mbezi ni miradi wa ocd wa kituo cha polisi Gogoni na ngenge lake wanakuja kuchukua pesa nasikia huja kwa gari na bunduki hao wenye bar na Machangu hutakiwa kulipa kila wili kutoka kwenye vikoba vyaoMleta mada asante sana kwa taarifa hizi.
Kusema kweli nwenyeji hapa tumepaza sana sauti na kutoa vilio kwa mapoilisi na serikali za mitaa!
mapolisi wao huja kila wiki kuchukua pesa (tena kwa gari lao) na kuondoka!
Tena inasemekana ole wako ucheleweshe malipo utawatambua!
Watoto wameathirika , wakazi wa hapo wanapata shida sana!
Kamanda Jumanne Muliro tunaomba msaada wako, Mamlaka husika please ingieni kati kukomeshe hii JEHENAM
Nasikia ilikuwa kule chini Magufuli akaja na barabara zake akaibomoa ndio wakahamia hapo juu kwenye kighorofa leo usiku kuna madem wanacheza uchi kuanzia saa sita ila nasikia mwenye bar huyo Godi ametoroka anatafutwa alimpiga mtu risasiHahahaha.. Hapo kwa God ni pa kitambo mno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariiiii sanaaa.Watoto wa siku hizi wanapenda jicho balaa yaani full mtifuano ngoja na madhara ya jicho yataleta magonjwa mapya...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliAfu jicho halina maajabu bora Kyuma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha kufananisha utamu wa Jicho na utamu wa vitu vya ajabu ajabu. Hiyo Kyuma unayoisemea nadra sana kuikuta ikiwa mnato na hata joto hakuna Tena.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasaMkuu wasimamia sheria ndio hao wanaangusha vieite wakifukuzana na mbususu sasa unadhani nani atamfunga paka kengele[emoji3]
Lipia tangazo we meneja wa bar ya lubumbashiWakuu jana nilipata mkosi wa kufika mitaa ya mbezi mwisho karibu na shule ya mbezi mwisho, roundabout ya kuelekea goba kuna bar nyingi sana eneo moja kuna guest nyingi sana eneo hilo hilo kuna idadi kubwa ya watu wanapisha kama utitili .
Wanawake 9/10 wamevaa nguo za kuonyesha hadi mbususu (wanaitwa vunja) wenyeji wa hawapo wanadai kero kubwa ni kuokota used condoms nyingi inapokuchwa ni uuzaji wa miili na pombe kali
Kuna nyumba inaitwa (whitehouse) hii haina mwenyewe inamauzauza kila aliyejaribu kuishi alipata cha mtema kuni so hapo nipa kila mtu humo ndani ni madawa ya kulevya,ngono,bangi na mara nyingi unaambiwa ugomvi hutokea na huwa hakuna kuamualiwa.
Kwa taarifa za kiintelijensia wateja wengi ni raia waliojichokea ,wafasiri wanaokwenda mikoani au waliofika Dar maana mbezi Louis ndio kitovu cha safari, polisi, wanajeshi na walinzi wa biashara ni vijana wa ulinzi shirikishi, mabaunsa,
Wanawake wanaojiuza ni mix piss kali,wala bangi na madawa,ukiwaona huwezi kuamini kuwa wanajiuza hasa mitaa ya bar ya sun Sirro,bar ya Gods pub, Lubumbashi,B bar na maduka yanayouza bombe eneo hilo kama unatoka sun Sirro kupandish sokoni wamefunga barabara kwa magogo hawataki usumbufu.
Waathirika wakuu ni watoto wa shule maana eneo hilo linashule mbili kubwa ile mbezi na upendo, wapangaji wa eneo hilo na wananchi wa kawaida.
Inadaiwa polisi wa kituo cha Gogoni, Temboni,mazulu hupokea pesa kila siku ili wasiwasimbue,wengi wamepanga pia mitaa hiyo na kutoa huduma kwa bei ya 2000-3000 ,wapo watoto waliochini ya miaka 18 inadaiwa wametolewa mikoani hasa singida, kagera, Arusha, Kilimanjaro na nyanda za juu kusini.
Kwenye bar ya Gods kila jumapili usiku kuna wanawake wanacheza uchi na kuweka chupa ya bia ukeni huku watu wakishangilia, uchi live
Eneo hilo lina harufu kali ya shahawa,kinyesi,na kutapakaa condom zilizotumika , sigara, bangi,
Kelele za muziki hadi asubuhi ni kawaida wanaume kuomba omba bia ni kawaida sana
CC . Dorothy GWAJIMA
USSR
Bora K[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli
HaswaaahBora K
Daaah kumekucha kama pale sinza kumekucha.Nasikia ilikuwa kule chini Magufuli akaja na barabara zake akaibomoa ndio wakahamia hapo juu kwenye kighorofa leo usiku kuna madem wanacheza uchi kuanzia saa sita ila nasikia mwenye bar huyo Godi ametoroka anatafutwa alimpiga mtu risasi
USSR