DOKEZO Je, uliwahi kufika bar ya Lubumbashi (kuzimu ya Dar), Mbezi Mwisho?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi mkuu Kahama mjini ni pazuri kiasi chake?..

Huduma muhimu kama maji,fresh foods,sehemu za starehe zipoje?

The place is so nice kwa huduma.
Social services ziko vizuri since kuna mzunguko wa pesa ya madini pia kamji ni on transit ambako kuna muingiliano wa Watu wa mataifa na makabila mbalimbali.

Wana maji safi kutoka lake victoria. Na barabara kuu to Rwanda, Uganda ndo hapo.
 
Hata kama ndiyo ufike na kuanza kula chakula cha mtu bila kukaribishwa? Mazoea gani hayo na hata hamfahamiani😳
Wanawake wengi ndiyo tabia zenu, yaani mnajikutaga eti kila dume unaloliona lina nyege kwako kumbe sivyo.

Yaani hii tabia ya kuona kila mwanaume anaweza kushoboka kwako mbaya sana.
 
Ndio nashangaa mtu ushambiwa night club mambo hayafanyiki mchana unacha kulala unaenda huko afu unakuja kulalamika hapa...

Kila mtu na starehe zake unalalamila hayo mambo huku unazini nje ya ndoa si uzwazwa
 
Uko sahihi biashara ya kuuza miili mbezi ni miradi wa ocd wa kituo cha polisi Gogoni na ngenge lake wanakuja kuchukua pesa nasikia huja kwa gari na bunduki hao wenye bar na Machangu hutakiwa kulipa kila wili kutoka kwenye vikoba vyao

USSR
 
Hahahaha.. Hapo kwa God ni pa kitambo mno
Nasikia ilikuwa kule chini Magufuli akaja na barabara zake akaibomoa ndio wakahamia hapo juu kwenye kighorofa leo usiku kuna madem wanacheza uchi kuanzia saa sita ila nasikia mwenye bar huyo Godi ametoroka anatafutwa alimpiga mtu risasi

USSR
 
Lipia tangazo we meneja wa bar ya lubumbashi
 
Nasikia ilikuwa kule chini Magufuli akaja na barabara zake akaibomoa ndio wakahamia hapo juu kwenye kighorofa leo usiku kuna madem wanacheza uchi kuanzia saa sita ila nasikia mwenye bar huyo Godi ametoroka anatafutwa alimpiga mtu risasi

USSR
Daaah kumekucha kama pale sinza kumekucha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…