Road Traffic Signal
JF-Expert Member
- Mar 17, 2022
- 621
- 1,958
Nipo Lubumbashi now pamenoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unakuta linalojiita MamaSamia2025 ni dumeKwahiyo hii ID uliyoitag unaamini ni ya Mh rais?
Hajawahi na hazijui,Hiyonisehemu ya starehe ushawahi ingia gland casino
Bar ya kavishe ile ni noma ...iko na ghorofaKuna baa moja ipo chamazi inaitwa mikumi aisee ile baa ina mashoga sijapata kuona
Daaah kwaiyo ukapga shoo ama ilikuwaje mkuuHuu mji una laana aisee juzi nimeenda bar moja Gomz nimeagiza choma kaja demu simjui akaanza kula akamalizia pia bia yangu nikaona isiwe kesi niende toilet alafu nisepe ishakuwa jau , si kanifuata toilet akainama na kuniambia anataka kunilipa nilivurugwa sana
Ulikosa uhondo aiseHuu mji una laana aisee juzi nimeenda bar moja Gomz nimeagiza choma kaja demu simjui akaanza kula akamalizia pia bia yangu nikaona isiwe kesi niende toilet alafu nisepe ishakuwa jau , si kanifuata toilet akainama na kuniambia anataka kunilipa nilivurugwa sana
Qb lounge mbezi mwisho.anaye jua maeneo/ bar zenye raha hizo pande za goba,madale,makongo nipeni muongozo aisee
Qb lounge mbezi mwisho.
Posto bella goba madale road
Nilitegemea comment kama hii... Afrika is shit hole...(Trump,2019)Ndio tatizo la kuja mjini ukubwani. Karibu
Sudan ya wapi? Tandika auHii hipo hata hapa Sudan hotel ukiingia ndani umo usiku wanawake wanacheza uchi na kuweka chupa za bia ukeni naomba pia serikali iingie usiku Katika hotel ya Sudan kwa chini wajionee jinsi wanawake wanavyosasambua