DOKEZO Je, uliwahi kufika bar ya Lubumbashi (kuzimu ya Dar), Mbezi Mwisho?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nasikia ilikuwa kule chini Magufuli akaja na barabara zake akaibomoa ndio wakahamia hapo juu kwenye kighorofa leo usiku kuna madem wanacheza uchi kuanzia saa sita ila nasikia mwenye bar huyo Godi ametoroka anatafutwa alimpiga mtu risasi

USSR
Hivi kwa God nauli sh ngapi kwa kutokea Mabibo Mwisho?
 
Kumamaaaake mbingu utaisikia tu we mwana kula maisha
Wana stimu sana wale Mkuu,
Ukiwaweka style ambazo nyama zao zonaonekana vizuri ni stimu tosha kabisa machoni.

Mbingu hizo ni habari za baadae huko Mkuu, na inawezekana hata tunatishana tu hakuna cha Mbingu wala moto hapo baadae ukifa ndo end of your chapter.
 
Sasa shida ya tigo ni kumpasua Ke mishipa yake na pili ni wewe kuugua ngoma n.k
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah watu mna makuu. Hivi wale mabaunsa huwa hawatamani kweli? Coz ni makauzu mno na sidhani km inawezekana wao eti wawe watazamaji tu...
Wale hawana huo ushamba kabisa yaani, nyie mnaokuja ndiyo wanaona washamba mmekuja mjini wale wana mademu wao kitaa tena maustadhati kabisa.
 
Majiji makubwa yana balaa sana....

Mamlaka zetu ziwakumbushe kuwa "uhuru wa mmoja huishia unapoanzia wa mwingine....".

#YetzerHatov
#DoNotDoHarm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…