Je, umalaya na udanganyaji ni chapa na asili ya jamii fukara au ni tabia binafsi na matokeo ya makuzi?

Je, umalaya na udanganyaji ni chapa na asili ya jamii fukara au ni tabia binafsi na matokeo ya makuzi?

Mambo hayo ni mchanganyiko sana.
1-Kuna wale mafukara wanaofanya mauzo kujikimu maishani.
2-Kuna walioanza kwa kuiga/kufuata mikumbo ya marafiki/kundi rika/kudanganywa kwa kazi nzuri hasa mijini na maguberi halafu wakanogewa.Mwishowe wakashindwa kujitoa aidha kwa kukosa kazi nyepesi kufanya/kumilikiwa kwa nguvu kutumikishwa kingono au kukosa ajira ya kudumu aishi/atunze familia.
3-Kuna wale ambao ni vipaji (maalumu)vyao/sex maniacs/hot pants kiasili.Yaani hao ni shida bin matataizo!Akiona mwanaume na kushusha macho kwenye flaizi tu anaanza kutoa miungurumo na kutetemeka magoti.Mambo ni vululuvululu!
 
Hiyo ni biashara kama biashara nyingine tu endapo mtu anaifanya pasipo kulazimishwa, serikali ingeangalia namna bora ya kuirasimisha na hata kuwatengea maeneo maalumu, wateja tupo
Napinga mzee mimi nimekula bitches sana wakati nipo Chuo kutokana na Ile kuepuka usumbufu wa kutongoza wa rika langu lakini kusema ukweli malaya hawafai kabsa kwanza:

1.Unakua hujiamini unawaza kondomu ikipasuka au ngozi zikigusana itakuaje

2.unawaza wanawake wanaotiwa na mwanaume zaidi ya mmoja huwa wananuka kisamaki

3.Huenjoy mapenz unakuta vyumba lidemu limekaa kama gogo Yan kama unadomba jiwe halitikisiki na hii ni kutokana na kwamba Hana hisia nawewe

4.Unajizolea mikosi tu
 
Screenshot_20241014_101951_WhatsApp.jpg
 
Napinga mzee mimi nimekula bitches sana wakati nipo Chuo kutokana na Ile kuepuka usumbufu wa kutongoza wa rika langu lakini kusema ukweli malaya hawafai kabsa kwanza:

1.Unakua hujiamini unawaza kondomu ikipasuka au ngozi zikigusana itakuaje

2.unawaza wanawake wanaotiwa na mwanaume zaidi ya mmoja huwa wananuka kisamaki

3.Huenjoy mapenz unakuta vyumba lidemu limekaa kama gogo Yan kama unadomba jiwe halitikisiki na hii ni kutokana na kwamba Hana hisia nawewe

4.Unajizolea mikosi tu
Inategemea ulikuwa unakula sampuli za aina gani, soda unayonunua mtaani Tsh. 600, ukienda 5 star hotel utauziwa zaidi ya Tsh. 3,000 haimaanishi kwamba ina ladha tofauti ama ujazo tofauti ila inakuwa imeambatana na vitu kadha wa kadha kama vile mandhari, quality of service etc.

Kwenye hii generation kukuta mwanamke anayelala na mwanaume mmoja tu ndani ya mwezi au miezi mitatu ni bahati nasibu.

Kuhusu kupewa ushirikiano wakati wa mechi hii inategemea na namna ulivyo mu approch ama unavyo mtreat, mimi binafsi sio kisa nanunua ndio nataka niwe na mcontrol, lazima nitengeneze mazingira ya urafiki na yeye kutokujihisi namchukulia kama bidhaa, kwa design hii muda mwingine napata mserereko kama staff.

Ila maoni yangu sio sheria, choose wisely.
 
Kwa maisha ya kawaida ya vipato vyetu bitches n 4000-10000 hawa weng wananuka nyeti Sijui hao bei nyingine Ila nataka kuwa na imani no matter mwanamke awe wa bei gan Ila anapolala na wanaume weng mwili wake kibaolojia una change kufuata mazingira hvo minuko ni lazima
Inategemea ulikuwa unakula sampuli za aina gani, soda unayonunua mtaani Tsh. 600, ukienda 5 star hotel utauziwa zaidi ya Tsh. 3,000 haimaanishi kwamba ina ladha tofauti ama ujazo tofauti ila inakuwa imeambatana na vitu kadha wa kadha kama vile mandhari, quality of service etc.

Kwenye hii generation kukuta mwanamke anayelala na mwanaume mmoja tu ndani ya mwezi au miezi mitatu ni bahati nasibu.

Kuhusu kupewa ushirikiano wakati wa mechi hii inategemea na namna ulivyo mu approch ama unavyo mtreat, mimi binafsi sio kisa nanunua ndio nataka niwe na mcontrol, lazima nitengeneze mazingira ya urafiki na yeye kutokujihisi namchukulia kama bidhaa, kwa design hii muda mwingine napata mserereko kama staff.

Ila maoni yangu sio sheria, choose wisely.
 
Kwa maisha ya kawaida ya vipato vyetu bitches n 4000-10000 hawa weng wananuka nyeti Sijui hao bei nyingine Ila nataka kuwa na imani no matter mwanamke awe wa bei gan Ila anapolala na wanaume weng mwili wake kibaolojia una change kufuata mazingira hvo minuko ni lazima
Sawa kwa hiyo bei ni lazima upate wanuka visamaki hapo lazima uvae hata condom 6
 
Mkuu kwa yule demu huchomoi Yani kila idala ni 💯 face umbo rangi mguu ila ndo hivo tena
Huyo angejiongeza angeenda Zanzibar angepiga pesa kinoma yani! Kule Zanzibar wanawake wapo wachache na Wazanzibar wageni kwenye Mahusiano wenyewe hawajui kutofautusha Mwanamke anayejiuza na Mwanamke ambaye hajiuzi yani wao wanatabia ya kumpangishia Nyumba au chumba Dada poa na wakamfanya mchepuko. mfano Malaya wanaojiuza Uwaja wa fish Manzese umlipie kodi na awe demu wako.
 
Back
Top Bottom