Luigi Alfred
Member
- Mar 17, 2016
- 66
- 45
Umbea umekuwa tatizo sugu miongoni mwa wanajamii waishio mitaani kiasi cha kusababisha ndoa za watu kuvunjika na mifarakano kuongezeka.
Kwa wana JF wenye uelewa kisheria hili ni kosa ambalo mtu anayesababisha haya anaweza kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kuwafarakanisha wanandoa?
Kwa wana JF wenye uelewa kisheria hili ni kosa ambalo mtu anayesababisha haya anaweza kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kuwafarakanisha wanandoa?