Je umechaguliwa course ya ndoto yako?

Rivamba J

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2013
Posts
385
Reaction score
170
Mimi binafisi nimechaguliwa katika course ambayo niliifikiria hasa nikiwa form 4 na nikaamua kusoma CBG A-level ili niipate i.e BS in applied geology-udom, ni baada ya kuckia kuwa inalipa,but kipaji changu na ndoto zangu za awali kabisa ilikuwa kusomea zaidi maswala ya ufundi wa v2 vya umeme kwani ninayamudu sana hata sasa ufundi wa vitu ka cm,tv,radio na computor kidogo japo cjasomea hizo v2.
Vipi kwako imekaaje???
 
dah me sikupata mwongozo but ntakomaa na kozi nliochaguliwa:embarrassed1::embarrassed1:
 
yaah nimepata course ya ndoto yang ambayo imekuja baada ya kuingia advance level --quantity surveyor/cost engenier by proffession from aru(uclas) na ndo ilikuwa chaguo langu la kwanzaaa! Ndoto oyeeeeeeeeeee
 
Sio tu ndoto yangu bali ni kipaji changu damuni,Civil Engineering.
 
Me ndoto zangu hazijatimia kabisa, itabd nijipange kwa ajili ya degree ya pili. Nilibug kufanya selection niliweka business communication and IT ya mwsho nikijua sitaweza kuchaguliwa but TCU wakafanya yao
 
ndoto yangu nilitaka nije nisome law wakt nachagua mwalimu wangu kaniambia law haina ajira pia mkopo utakosa achana na law watu waliosoma law wengi kaz hawana haiwezekan familia inakutegemea umalze chuo tena ukae nyumban miaka 7 mpaka 8 ukitafta kaz bac akawa amenichanganya na cjui niliaminije maneno yake, najuta mie
 
DOCTOR OF MEDICINE (MD) kozi ya ndoto BUGANDO NAKUPENDA BUGANDO UNANIPENDA AMEN!
 
Geomatics engineering(land surveying)..naipenda tokea olevel..japokua ni ngumu but nitakomaa nayo..nimeweka first choice na nimechaguliwa..thanx god..ARDHI UNIVERSITY hallaaaaa
 
water resources & irrigation engineering from the inner part of my heart!
 

usihofu kama chuo kinafundisha hiyo Degree unaweza kuomba kubadilishiwa ili usome Law na utimize malengo yako
 
Niliota kuwa mwalimu na sasa ni mwalimu. Nashukuru mungu ndoto imetimia.
 
Huwa sifikiri kama elimu yangu itanitoa mie....kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikiamini na kuweka ndoto zangu kwenye kipaji,...muziki ndo ndoto yangu kubwa na naamini itatimia,kuanzia october kaka Darius tegemea kusikia kazi zangu na hiyo ndo dream yangu kubwa
 
Last edited by a moderator:
malengo yangu yanatimia by 50 mpaka sasa nmechaguliwa chaguo langu la kwanza Bachelor of accounting and finance in business sector Mzumbe university lakn bado safari kwan bado masters ya ECONOMICS.tanzania wengi hatuna washauri mtu unamaliza advance hujui course ya kusoma upo njia panda.nashauri vyuo viwe vinatoa semina mashulen au waalimu wakuu wawe wana alika wahadhiri.maana waalimu wengne wanakushauri kwa kuvutia upande wa somo lake.mzumbeeee daima,ndoto znaanza timia.upcoming accountant and economist
 
nitakapomaliza education ya informatics and mathematics nakujiunga na jeshi basi ndoto itakamilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…