Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Japo sisi wachambuzi hatuna timu ya kushabikia ...ila Kwa maslahi ya taifa nimefurahishwa na ushindi wa Simba ....( Wakimataifa )
Now Tanzania tumeleta heshima Kwa nchi za kusini mwa Sahara desert Kwa kupunguza Arabs domination hivyo ku maintain balance ya soccer [emoji460] ( role yetu imekua kama ya Russia)..... hivyo ligi yetu inazidi kuchanja mbuga
Binafsi nmefurahia ushindi huu nikiwa tukuyu -mbeya ....
ambapo nilikuwa meneo flani hivi ....Baada ya mnyama [emoji250] kufunga 3 za chaap Kwa furaha kubwa ...nikaondoka kibanda umiza na kukimbilia home[emoji23]
Nb: Je hii picha ya Chama hapa chini Ina reflect ukweli??[emoji116][emoji116][emoji116]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Now Tanzania tumeleta heshima Kwa nchi za kusini mwa Sahara desert Kwa kupunguza Arabs domination hivyo ku maintain balance ya soccer [emoji460] ( role yetu imekua kama ya Russia)..... hivyo ligi yetu inazidi kuchanja mbuga
Binafsi nmefurahia ushindi huu nikiwa tukuyu -mbeya ....
ambapo nilikuwa meneo flani hivi ....Baada ya mnyama [emoji250] kufunga 3 za chaap Kwa furaha kubwa ...nikaondoka kibanda umiza na kukimbilia home[emoji23]
Nb: Je hii picha ya Chama hapa chini Ina reflect ukweli??[emoji116][emoji116][emoji116]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app