Je umefurahia ushindi wa Simba ukiwa wapi?

Je umefurahia ushindi wa Simba ukiwa wapi?

Jana nimefurahia sana, sio ushindi wenu, bali kuingia robo fainali. Ninaipenda yanga, ila ninalipenda soka la bongo. Simba kufuzu, imetupa heshima kubwa sana nchi yetu. Timu 2 robo fainali. Raha ya soka, wababe ndani ya nchi wawe wengi.
Yaah n kweli mkuu .... imagine Africa nzima ni sisi tu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
6imba
Makolo wakikumbuka 5G na timu iliyowatumbua ipo juu kwenye msimamo wa ligi kuu, furaha yao inatumbukia nyongo🤔
 

Attachments

  • Screenshot_20231118_122653_Facebook.jpg
    Screenshot_20231118_122653_Facebook.jpg
    54.4 KB · Views: 3
Back
Top Bottom