Ili nisiwachoshe, naona nibora niwawekee screenshots za cover page na page nyingine mbili ambazo zinafichua
1. BBC ktk taarifa zao waliepuka kutaja kuwa kati ya waliouawa walikuwepo askari wa Hamas
2. BBC waliepuka kutaja kuwa Hamas ina wapiganaji miongoni mwao ambao ni vijana wenye umri mdogo; wakati inajulikana wazi Hamas inasaili wapiganaji watoto na kuwapa mafunzo
3. BBC hawakutolea taarifa wahanga ambao waliuawa kutokana na milipuko ya Hamas wenyewe
4. Mahojiano ambayo BBC ilifanya kwa kujua au kutokujua, mengi imebainika ilikuwa na wanachama wa Hamas au watu waliosheherekea mauaji ya October 7 kupitia mitandao yao ya kijamii
5. Click the link for a PDF copy of The Asserson Report
https://campaignformediastandards.org.uk/asserson-report.pdf
6.Swali la kufikirisha: je endapo tume huru ingefanya uchunguzi kama huu kwa Al Jazeera, report yake ingekuwaje?
7. Ktk hii report, analaumiwa sana mwandishi nguli wa BBC anayeitwa Jeremy Bowen
Huyu hapa:
View: https://x.com/K0sher_C0ckney/status/1823752129976414533
1. BBC ktk taarifa zao waliepuka kutaja kuwa kati ya waliouawa walikuwepo askari wa Hamas
2. BBC waliepuka kutaja kuwa Hamas ina wapiganaji miongoni mwao ambao ni vijana wenye umri mdogo; wakati inajulikana wazi Hamas inasaili wapiganaji watoto na kuwapa mafunzo
3. BBC hawakutolea taarifa wahanga ambao waliuawa kutokana na milipuko ya Hamas wenyewe
4. Mahojiano ambayo BBC ilifanya kwa kujua au kutokujua, mengi imebainika ilikuwa na wanachama wa Hamas au watu waliosheherekea mauaji ya October 7 kupitia mitandao yao ya kijamii
5. Click the link for a PDF copy of The Asserson Report
6.Swali la kufikirisha: je endapo tume huru ingefanya uchunguzi kama huu kwa Al Jazeera, report yake ingekuwaje?
7. Ktk hii report, analaumiwa sana mwandishi nguli wa BBC anayeitwa Jeremy Bowen
Huyu hapa:
View: https://x.com/K0sher_C0ckney/status/1823752129976414533