Siamini labda mpk tusibitishiwe kuwa washalipa pale watakapolipa.Mkuu hapa nimeamka zamani kabisa. Wewe hauamini kuwa watatulipa Matrilion yetu?
Heko sana mkuuNoah yangu naichora mistari ubavuni itakuwa inafanya routes za Namamga to Arusha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hizi zitatoka Japan. Zitakuwa mpya kabisa. 0 Km
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Mkuu safi sana. Agiza moja baridi, bili kwangu.
Maali ya kuoa mke huku ni laki 1Mkuu mke wa pili kivipi yaani. Utauza Noah halafu ukatoe mahali au?
Oyaa vipi ile Noah yako ipo katika hali gani hapo Kanda Pendwa?Nadhani mada inaeleweka. Mazungumzo yanaendelea kwa wiki kadhaa sasa, tangu yaanze. Nadhani ni busara kuweka mipango juu ya vitu vitarajiavyo.
Ni matumaini ya Watanzania wengi (kama tulivyoaminishwa na viongozi wetu wakuu) kupewa Noah mara baada ya haya Mazungumzo, maana kwa nondo (data) tulizonazo, hawa jamaa (BARRICK) hawachomoki.
Tushirikishane jinsi ya kutumia vyema Noah zetu pendwa.🙂😀
Hahaha... Hatari sana mzee. 🤣🤣🤣Oyaa vipi ile Noah yako ipo katika hali gani hapo Kanda Pendwa?
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app