Je, umejipanga kutumiaje Noah baada ya ACACIA (Kupitia BARRICK) kutulipa Trillion zetu?

Je, umejipanga kutumiaje Noah baada ya ACACIA (Kupitia BARRICK) kutulipa Trillion zetu?

Wewe ni mpumbavu, najivunia kukuita hivyo, kauli yangu itajitengua yenyewe kitu hii nikiikuta imehamishiwa jukwaa la jokes!
Mkuu kwani Upumbavu hapo unaingiaje. Ku'plan future?
 
Nitaipiga bei niongeze hela nichukue hii niwe tofauti na wengine......
2016-Toyota-Land-Cruiser-6.jpg
Umetisha sana jembeee
 
akha! wakigawa itakuwa mbaya.. hebu fikiri hizo pesa/gari wagaiwe watu wote tz mtapata wapi ma house girl & boys vibarua n.k wkt wote wanamihela ha ha ha! angamizi
Si ndio za kuijia makazini
 
Nadhani mada inaeleweka. Mazungumzo yanaendelea kwa wiki kadhaa sasa, tangu yaanze. Nadhani ni busara kuweka mipango juu ya vitu vitarajiavyo.

Ni matumaini ya Watanzania wengi (kama tulivyoaminishwa na viongozi wetu wakuu) kupewa Noah mara baada ya haya Mazungumzo, maana kwa nondo (data) tulizonazo, hawa jamaa (BARRICK) hawachomoki.

Tushirikishane jinsi ya kutumia vyema Noah zetu pendwa.🙂😀
Oyaa vipi ile Noah yako ipo katika hali gani hapo Kanda Pendwa?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom