Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Wakati msimu wa safari za mwisho wa mwaka ukiwa umeanza, wananchi wa maeneo mbalimbali nchini wamekutana na uzoefu tofauti wa safari hususan kwa upande wa nauli.
Katika miaka ya karibuni, kumekuwa na tatizo la wenye mabasi na watumishi wao kupandisha nauli katika majira haya lakini kwa mwaka huu kumekuwa na maeneo ambayo nauli zimepanda huku maeneo mengine zikibaki kama kawaida.
Vipi mdau Je umekutana na ongezeko la nauli kwenda mkoani?
Katika miaka ya karibuni, kumekuwa na tatizo la wenye mabasi na watumishi wao kupandisha nauli katika majira haya lakini kwa mwaka huu kumekuwa na maeneo ambayo nauli zimepanda huku maeneo mengine zikibaki kama kawaida.
Vipi mdau Je umekutana na ongezeko la nauli kwenda mkoani?