Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What is there ?for any lady who is single, please come pm asap
Twaja Hahahahahafor any lady who is single, please come pm asap
I'm herefor any lady who is single, please come pm asap
Habari zenu wanajamvi wenzangu?
Nimeanzisha huu uzi ili kuja mafanikio ya hili jukwaa kwa watu wanaolitumia kutafuta wenzi wao, yaani wachumba, wanandoa hata rafiki wa karibu kutoka humu ndani. Kama umewahi kumpata uliyemtafuta kutoka humu JF tafadhali tujulishe ili kuwatia moyo wale wanaondelea kutafuta.
Nawatakia wakati mwema.