Futa huu ujinga mtafutie jna lingine maisha yetu yapo mikononi kw Mungu au ndio tusichukulie maisha serious
Natamani nimuandikie zaidi ya hii mkuuFuta huu ujinga mtafutie jna lingine maisha yetu yapo mikononi kw Mungu au ndio tusichukulie maisha serious
KWa ninavyojua mimi maanyingi mwanamke kabla hajazaa anakuwa na mahaba ya ajabu sana hata akishazaa pia ila siku ukikosea kidogo tu ushakuwa disqualified na jina litabadilishwa na mapenzi wanayahamishia kwa watoto ingawa muda mwengine huhamisha tu mapenzi automatic au anajisikia vizuri kukuita baba fulani pia so hauko mkingaMke wngu alinisevu mume wng kipenzi 1 2 3 laini zangu zote 3 nowdays nimekuta amesevu jina langu na baba fulani
Daaah hata huyo mpenzi mwenyewe yupo sasa[emoji2][emoji2]Najaribu kuwaza nakosa majibu sahihi ni kitu gani kinapeleka wanaume kusave wanawake zao majina ya kiume kwenye simu na wanawake pia halikadhalika....
π π π π Mimi ninae ila kwa kujifunza wnaayopitia wengine mimi sitamani kujua nilivyohifadhiwa usikute ni fundi generetaDaaah hata huyo mpenzi mwenyewe yupo sasa[emoji2][emoji2]
Ngoja nikae pande hii nione wenye wapenzi wao[emoji28]
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Umenikumbusha niliona siku moja simu ya dada mmoja eti kasave jina la mwanaume Kishkwambi,nikasema nyie wanawake hebu tuhurumieni saa zingine...Najaribu kuwaza nakosa majibu sahihi ni kitu gani kinapeleka wanaume kusave wanawake zao majina ya kiume kwenye simu na wanawake pia halikadhalika. KWani hata kama mnachepukiana si usave jina lake tu halisi badla ya kuweka majina maalum ya kuonesha uhusiano wenu? kama babe.honey, sweetiee n.k. si msave tu JUMA, JOSE,TINA au MWAJUMA?. kILA NIKITAFAKARI NAKOSA MANTIKI YA WATU KUFANYA HIVYO. Je siku ukigundua mpenzi wakoa makusave tofauti kwenye simu utajisikia na kumuelewaje?
Aiyeeee Fundi genereta [emoji2]π π π π Mimi ninae ila kwa kujifunza wnaayopitia wengine mimi sitamani kujua nilivyohifadhiwa usikute ni fundi genereta
Daahh kishwambi jamani mi nimeona rafiki yangu kamsave mume wake BAZAZI nikaogopa nilipomuuliza akasema yeye alikuta kaseviwa NYAMBIZI akamind sanaUmenikumbusha niliona siku moja simu ya dada mmoja eti kasave jina la mwanaume Kishkwambi,nikasema nyie wanawake hebu tuhurumieni saa zingine...
Hakika ndgugu UMEKAMATIKA na MMEKAMATANAUkishikwa shikamanaView attachment 2718214