Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nakumbuka kipindi niko primary ugweno ilitokea kitu cha ajabu sana.
Ile shule ilikuwa haiishi vioja kila siku!
asubuhi moja tumewahi namba shuleni ghafla tukajikuta shule tuko3 tu.ilikuwa saa12:00asbh.
Tumekaa tunamsubiri kiranja aje atupe namba...kustaajabu tunaona kicha cha kuku kimechomekwa kwenye kijiti huku vinatembeaa aahh tulifunguka balaa!
Kuna mbibi huyo alikuwa anapika bajia ye akiwa anapika paka wake ndo anahudumia ukimpa sh5 anachoma bajia na spoku anakupa..si tuliona ni kawaida na tulizoea.
Kweli hii chaiChai hii
Akija mtoe ndukiUsije Kijiweni kwangu!
Huwezi kujua kuwa dunia Ina mambo mpaka likukute jamboIna maana shingo yake haikuwa na mishipa mikuba wa damu?
Na inakuwaje asurvive bila ubongo..
Hii ni chai ya rangi wallah[emoji3]