Je umeshawahi kusikia stori ya kuku aliyeishi miaka miwili bila kichwa?

Kwahiyo nini kilimuweka hai kwa 2 yrs pia naimajin maumivu yake
 
Chai hii
 
Ina maana shingo yake haikuwa na mishipa mikuba wa damu?
Na inakuwaje asurvive bila ubongo..
Hii ni chai ya rangi wallah[emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…