Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni porno ndio zinaharibu watu na story za vijiweni, hakuna tatizo kubwa. Bao la Kwanza muda wake unajulikana, mtu anataka atumie DKK 50 au Saa moja kwa bao la Kwanza, Yani unajitafutia tatizo pasipo na tatizo.Nazidi kuamini issue hii imekuwa changamoto kubwa sana katika jamii yetu. Lakini ingependeza zaidi pia tutumie nguvu kubwa kufahamu dawa ya kuimarisha ubongo nadhani tutafika mbali sana.
kwa wasiojua matembere ukiyasaga na blender yakiwa mabichi ni mazuri sana kwa kuongeza damu hii kwa akina mama wajawazito inafaa sana na hata mgonjwa yoyote mwenye upungufu wa damu hii unatumia siku nne tuu utapata majibu waweza kunywa mara tatu au nbili kwa siku galasi tatu ama mbili.Hivi kwa wale wenye uhitay wa hivi vitu je mmewahi kutumia juisi ya tembele kwa ajili ya nguvu za kiume aisee ni hatari hiyo kitu kama ujajaribu ebu leo nenda kajaribu utakuja niambia pia madhara hakuna kabisa hiyo nichakula