Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,109
Hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@Mbunyeuliona nni?
inabadilika kuwa na umbile gani mkuu?
Au unakusudia uzee?
Mabubu hawana uwezo wa kuongea, lakini wana uwezo wa kuandikaWataalamu wa elimu ya mambo yasiyoonekana usema ukitazama kioo unaacha sura yako pale pia kioo unasa sura za hata visivyoonekana mfano wachawi,majini nk thus awashauri watoto ambao awajaanza kuongea kuruhusu kuwaonyesha vipo wao huwa wanaona kilichomo kwenye kioo.
Mtoto akishaanza tu kuongea au kupata ufahamu ule uwezo wake wa kuona visivyoonekana unakufa.
Mbwa, bubu, kichaa, wanyama,ndege,watoto wachanga uona visivyoonekana lakini hawana uwezo wa kuongea.
Acha kuangalia Tukuyu yakoUna kasura kama umemeza ndimu mkuu?😂😂joke. Mimi kuna sehemu naiangaliaga kwenye kioo aki huwa nashangaa Mungu alifikiria nini 😂
Sehemu gani??[emoji848]Una kasura kama umemeza ndimu mkuu?[emoji23][emoji23]joke. Mimi kuna sehemu naiangaliaga kwenye kioo aki huwa nashangaa Mungu alifikiria nini [emoji23]
Kwamba,?ndiyo hivyo hivho kiunho kina sura mbaya badi tu kitamuUna kasura kama umemeza ndimu mkuu?😂😂joke. Mimi kuna sehemu naiangaliaga kwenye kioo aki huwa nashangaa Mungu alifikiria nini 😂
Ongezea nyama kidogo hii comment tafadhali.Kioo kinamaana kubwa sana, kuliko hata iyo tunayoijua sisi.
hiii sura duuuh nusu iunguze pc sijui aliepiga kama simu yake haikuaNDIKA BATTERY LOW sijuiSura ya kiutu uzima.View attachment 2092967
Ongezea nyama kidogo hii comment tafadhali.
AiseeKioo pekee kinasimama kama ulimwengu huru.. kupitia kioo unaweza kujitambua wewe ni Nani?
Kupitia kioo unaweza kuzungumza na mtu au mfu
Kupitia kioo unaweza kuona vitu unavyovitambua au usivyovitambua.. vilivyopita,viliopo na vijavyo.. kupitia kioo unaweza kutoka nje! Ya dunia kwa ushauri ukishamaliza kutumia kioo kwa matumizi ya kawaida kifunike au kizibe na kitambaa mpaka utakapokuja kukitumia kwa mara nyingine..
hahahahaKioo hakidanganyi,
Unatishaaaaaaaaaaaaaa