Ketoka
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,117
- 1,966
Nadhani wengi mmewahi kusoma somo la sayansi mada ya uzalishaji kwa shule za msingi au Reproduction kwa secondary
Wewe kama mwalimu wa somo husika wa darasa husika kuna mwanao yumo, Wewe mzazi ambaye pia ni mwalimu wa kiume una mtoto wako wa kike darasa husika aliyebalehe,je utaweza kufundisha mada ipasavyo?
Na kama wewe ni wa kike mwanao yumo darasa husika ni wa kiume utaweza kufundisha mada husika ipasavyo ?
Je kama wanao wawili wa kike na wa kiume wapo darasa moja ,vipi utaweza kufundisha mada husika ipasavyo?
Je mwanafunzi/wanafunzi ambao ni wanao wa kuzaa watafurahia somo na kulielewa,na je watakuwa huru kujifunza?
Fikiria ni wewe tu mwalimu wa somo husika shuleni kwako na walimu wengine hawawezi kufundisha somo hill
Kama umewahi kukutana na hali hiyo tupeane uzoefu ilivyokuwa
Wewe kama mwalimu wa somo husika wa darasa husika kuna mwanao yumo, Wewe mzazi ambaye pia ni mwalimu wa kiume una mtoto wako wa kike darasa husika aliyebalehe,je utaweza kufundisha mada ipasavyo?
Na kama wewe ni wa kike mwanao yumo darasa husika ni wa kiume utaweza kufundisha mada husika ipasavyo ?
Je kama wanao wawili wa kike na wa kiume wapo darasa moja ,vipi utaweza kufundisha mada husika ipasavyo?
Je mwanafunzi/wanafunzi ambao ni wanao wa kuzaa watafurahia somo na kulielewa,na je watakuwa huru kujifunza?
Fikiria ni wewe tu mwalimu wa somo husika shuleni kwako na walimu wengine hawawezi kufundisha somo hill
Kama umewahi kukutana na hali hiyo tupeane uzoefu ilivyokuwa