Mwana Ilala
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 1,287
- 486
Hallo Wana-JF
Mimi huwa inanishangaza kitu kimoja barabarani, wakati unaendesha then ghafla unakutana na Gari kama yAko then unaitupia jicho, cha kustaajabisha unakuta namba ni Mpya hata mwezi haina,ila sasa,utadhania ni gari yenye namba series AA#.
Nina doubt kama zile Inspection institutes "JAAI/EAA"zilizopewa dhamana na Serikali yetu ya kukagua ubora wa magari yanayo agiziwa toka nje, kama zinafanya inavyotatikana. Haiwezekani gari inakuja hapa bongo ukiitazama sura haitazamiki. Eti naye kaagiza Gari Reconditioned.
Jaman....! tujali thAman ya hela yetu kwa kuhakikisha tunapata kile ambacho ni sawa na tulicholipia.hela yetu tunaipata kwa mazingira Magumu:wengine hudiriki hata kukopa ili mradi naye aweze kutatua tatizo la usafiri.
Sawa:unaweza usiwe na Uwezo wa kununua gari ya 2005/2006/08/09/10, basi tujitahidi tusichague Magar Makuu kuu kwenye Mtandao, Kisa gari inauzwa $600/350 nawe unAjisifia kuwa nimepata gari kwa bei rahisi kweli kweli. Kumbe kule kwao hiyo gari ilitakiwa kupelekwa Manispaa kuwa-recircled nawe unajisifia nimepata.
Ngoja nikomee hapa kwani kuna watu wana ushahid na hili jambo hasa wenzangu wa Clearing & Forwading.
Halafu kuna Makampuni huko Japan wao wakisha nunua Gari Mnadani hawanaga tena Muda wA kuikagua kama wafanyavyo "Autorec" hawa jamaa nawapa Big Up. Gari zao zinakuwa zimesimama hata ununue gari ya 1989 unaikuta kwenye Kiwango utadhani imetoka Kiwandani leo. Wenzao Beforward Ndio wanongoza kwa kuuza Gari Ngarangara/Mikaangafu.
Gari 4 hadi 6 kati ya 15 za Beforwrd ukizifanyia physical checkup lazima utazikuta na tatizo kama sio kasoro. Nmewahi kununua gari IST kwa hawa Beforward:gari ilikuja na Mlio/Mvumo wa Bearing zote kushney.Salaaleeeee.na ilikuwa na "EAA" Inspection Certificate.
Mimi huwa inanishangaza kitu kimoja barabarani, wakati unaendesha then ghafla unakutana na Gari kama yAko then unaitupia jicho, cha kustaajabisha unakuta namba ni Mpya hata mwezi haina,ila sasa,utadhania ni gari yenye namba series AA#.
Nina doubt kama zile Inspection institutes "JAAI/EAA"zilizopewa dhamana na Serikali yetu ya kukagua ubora wa magari yanayo agiziwa toka nje, kama zinafanya inavyotatikana. Haiwezekani gari inakuja hapa bongo ukiitazama sura haitazamiki. Eti naye kaagiza Gari Reconditioned.
Jaman....! tujali thAman ya hela yetu kwa kuhakikisha tunapata kile ambacho ni sawa na tulicholipia.hela yetu tunaipata kwa mazingira Magumu:wengine hudiriki hata kukopa ili mradi naye aweze kutatua tatizo la usafiri.
Sawa:unaweza usiwe na Uwezo wa kununua gari ya 2005/2006/08/09/10, basi tujitahidi tusichague Magar Makuu kuu kwenye Mtandao, Kisa gari inauzwa $600/350 nawe unAjisifia kuwa nimepata gari kwa bei rahisi kweli kweli. Kumbe kule kwao hiyo gari ilitakiwa kupelekwa Manispaa kuwa-recircled nawe unajisifia nimepata.
Ngoja nikomee hapa kwani kuna watu wana ushahid na hili jambo hasa wenzangu wa Clearing & Forwading.
Halafu kuna Makampuni huko Japan wao wakisha nunua Gari Mnadani hawanaga tena Muda wA kuikagua kama wafanyavyo "Autorec" hawa jamaa nawapa Big Up. Gari zao zinakuwa zimesimama hata ununue gari ya 1989 unaikuta kwenye Kiwango utadhani imetoka Kiwandani leo. Wenzao Beforward Ndio wanongoza kwa kuuza Gari Ngarangara/Mikaangafu.
Gari 4 hadi 6 kati ya 15 za Beforwrd ukizifanyia physical checkup lazima utazikuta na tatizo kama sio kasoro. Nmewahi kununua gari IST kwa hawa Beforward:gari ilikuja na Mlio/Mvumo wa Bearing zote kushney.Salaaleeeee.na ilikuwa na "EAA" Inspection Certificate.