ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
Habarini marafiki
Ifuaatayo ndo menyu ya kuandaa Juice ya Karoti na Machungwa
Mahitaji:
- Machungwa 20 au zaidi kutegemeana na jinsi upendavyo.
- Karoti 10 -17 hivi inategemeana anavyopenda
- maji safi yaliyochemshwa pamoja na sukari
- tangawizi, au vitunguu saumu ukipenda
Matayarisho yake:
Andaa machungwa na uyasafishe kwa usafi maji moto,
yamenye kati bila kutoa maganda yake huku ukiangalia yasivuijie kwenye kisagio
kisha yasage kwenye kisago chake moja baada la lingine. Ondoa mbegu zake na
weka kwenye bakuli kubwa.
Chukua Karoti zako zimenye na kuziosha kisha zisage kwa kisagio au brenda yake
changanya changanya kwenye yale machungwa kisha weka maji kidogo halafu
chukua tangawizi kidogo sana iliyosagwa changanya humo
Mwisho chukua sukari ambayo ulichanganya na maji ii ilainike nyunyiza kwenye
hayo machungwa na karoti weka maji upendayo ya kutosha halafu angali kama
juisi ni nzito au nyepesi, baada ya hapo ongeza tena kipunje cha kitunguu saumu
kisha weka korogo koroga vichanganyikane
Mwisho weka kwenye friji na tayari kunywa kwa kitu chochote kile
iwe keki, chakula cha kawaida, au maandazi
CC: Paloma, charminglady, Passion Lady, sweetylady, amu, Smile, Mamndenyi, lara 1, AshaDii, Madame B, Kaunga, Heaven on earth, The secretary, everlnsalt, gfsonwin, Bujibuji, watu8, Mtambuzi, kaka Bishanga (acha juisi za azam kunywa flesh) na marafiki zangu
wote wa hapa karibuni mjitayarishie na muone ilivyo tamu na radha nzuri kwa yeyote anayetaka
kutayarishiwa asisite kuniita nijek kwake nitamuandalie atabrooo maandalizi yangu!!! weeeee si mchezo!!
Ifuaatayo ndo menyu ya kuandaa Juice ya Karoti na Machungwa
Mahitaji:
- Machungwa 20 au zaidi kutegemeana na jinsi upendavyo.
- Karoti 10 -17 hivi inategemeana anavyopenda
- maji safi yaliyochemshwa pamoja na sukari
- tangawizi, au vitunguu saumu ukipenda
Matayarisho yake:
Andaa machungwa na uyasafishe kwa usafi maji moto,
yamenye kati bila kutoa maganda yake huku ukiangalia yasivuijie kwenye kisagio
kisha yasage kwenye kisago chake moja baada la lingine. Ondoa mbegu zake na
weka kwenye bakuli kubwa.
Chukua Karoti zako zimenye na kuziosha kisha zisage kwa kisagio au brenda yake
changanya changanya kwenye yale machungwa kisha weka maji kidogo halafu
chukua tangawizi kidogo sana iliyosagwa changanya humo
Mwisho chukua sukari ambayo ulichanganya na maji ii ilainike nyunyiza kwenye
hayo machungwa na karoti weka maji upendayo ya kutosha halafu angali kama
juisi ni nzito au nyepesi, baada ya hapo ongeza tena kipunje cha kitunguu saumu
kisha weka korogo koroga vichanganyikane
Mwisho weka kwenye friji na tayari kunywa kwa kitu chochote kile
iwe keki, chakula cha kawaida, au maandazi
CC: Paloma, charminglady, Passion Lady, sweetylady, amu, Smile, Mamndenyi, lara 1, AshaDii, Madame B, Kaunga, Heaven on earth, The secretary, everlnsalt, gfsonwin, Bujibuji, watu8, Mtambuzi, kaka Bishanga (acha juisi za azam kunywa flesh) na marafiki zangu
wote wa hapa karibuni mjitayarishie na muone ilivyo tamu na radha nzuri kwa yeyote anayetaka
kutayarishiwa asisite kuniita nijek kwake nitamuandalie atabrooo maandalizi yangu!!! weeeee si mchezo!!
Last edited by a moderator: