Je umewahi kunywa Juice ya karoti + machungwa cheki hapa





kuna maonesho ya watu wa syria diamond jubilee kuanzia wiki ijayo wanazo wanaziuza hizo machine
 
Nina kijiwe changu cha chakula napenda niwatengenezee wateja wangu juice Kama hii naomba msaada
 
Nina kijiwe changu cha chakula napenda niwatengenezee wateja wangu juice Kama hii naomba msaada
msaada gani unaouhitaji ndugu yangu hebu nifafanulie maana nimeweka namna ya uandaaji na utayarishaji wa juice hjiyo sasa nifafanulie msaada gani unaohitaji
 
Kuna siku nilikunywa juice ya karoti tupu ambayo haijavhanganywa na chochote, nilipoenda msalani sasa weeee
 
special for ladies napita tu! sorry for interupting but I have gain something
 
Kuna siku nilikunywa juice ya karoti tupu ambayo haijavhanganywa na chochote, nilipoenda msalani sasa weeee
ahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa pole kabla hujaendelea nimekuelewa hahahahhaaaaaaaaaaaa ilikuwa kali sana ulijisikiaje huko chooni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…