SODIUM CYANIDE
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 691
- 1,166
Wanatoa .,korosho the times nmepanda..sio za kutaftiana chenji ka fastjet hahawanatoa refreshments? au ni za kununua?
HahahaMimi bado kiukweli ..mahana izo ndege azina tofauti na bajaji.
MuongoMimi bado kiukweli ..mahana izo ndege azina tofauti na bajaji.
Kwenye seat sawa ila ndege zipo pouwa kabisaYahh iko stable sana .,felt very comfortable mda wa take off and landing na misukosuko huko juu hamna shida .ss sijui ni pilot wa siku hio na weather nzuri
ila zile pangaboi kelele zake sasa loh
ila kilichokera ni siti zile aisee jmn hata shabiby seats za basi zimewazidi.,hamna entertainment kbs...perhaps cz internal flights ndani ya nchi ni fasta mshafika
Na kuchelewa mda wa flight ss tulikalishwa KIA lisaa bado ipite Znz
Ushauri waongeze luxury features zaidi kwny seats
Siti utafikiri za hiace [emoji23]Yahh iko stable sana .,felt very comfortable mda wa take off and landing na misukosuko huko juu hamna shida .ss sijui ni pilot wa siku hio na weather nzuri
ila zile pangaboi kelele zake sasa loh
ila kilichokera ni siti zile aisee jmn hata shabiby seats za basi zimewazidi.,hamna entertainment kbs...perhaps cz internal flights ndani ya nchi ni fasta mshafika
Na kuchelewa mda wa flight ss tulikalishwa KIA lisaa bado ipite Znz
Ushauri waongeze luxury features zaidi kwny seats
InshAllahUkoo wangu wote waliowahi kupanda ndege ni wawili, baba na dada yangu.
Siku nikizipata nitaenda hata Mbeya au Zanzibar.
πππππππππOh yeah...
Halafu kuna mdada mmoja ni flight attendant humo kwa Bombadier ni mzuri kweli kweli!
Ninaposema ni mzuri namaanisha ni mzuri haswa!!!
Melanin magic baby!!
Huyo hata kwa mama naweza kumpeleka [kama na kichwani zimo lakini].
View attachment 731901
PangaboyNdio nini hiyo?