Je, umewahi kupata kero gani COSTECH ukifuatilia kibali cha tafiti?

Je, umewahi kupata kero gani COSTECH ukifuatilia kibali cha tafiti?

OLS

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2019
Posts
426
Reaction score
685
Ndugu watafiti, recently yamewasilishwa mapendekezo mapya ya sheria ya COSTECH ambayo yanweza kuongeza ugumu wa kupata kibali cha kufanya tafiti. Mapendekezo yanawapa COSTECH uwezo wa kuja na kuvikamata vifaa vyako, kuwauliza staff kuhusu utafiti unaoendelea pia kuchukua documents zenu.

Kabla ya kujua haya mapendekezo mapya na athari zake, ningependa kujua kwa yeyote aliyewahi kuomba kibali COSTECH kushare experience yake.

Karibuni wadau. Pia msome amendments muone mwiba mwingine unaokuja.
 
Tume ya Sayansi hiyo,ile ofisi huwa naiona kama ya ujanjaujanja hivi ilivyo,hakika sijawahi fikiri kama inaleta tija.
 
Pale watu wanawaza Per diems tu. Hivi wao hawahamii Dodoma? Maana lile jengo lingefaa kuwa hata Lecture theatre ya Ustawi ama CoICT vijana wapewe madini kuliko Hawa jamaa hawaelewek. Huyo boss wao ukipata nafasi ya kuongea nae unaweza kulia
 
Back
Top Bottom