Kama kichwa kinavyojieleza
Ni kawaida kutokea katika mawindo yetu Yale..
Mi nilipigwa booonge la kibuti afu mtoto alikua maji ya kilimanjaro mixer u-beyonce mwingi...gucci d&g , izo ni ka kumiliki goloka...
Na nyie tiririkeni....
Kama kichwa kinavyojieleza
Ni kawaida kutokea katika mawindo yetu Yale..
Mi nilipigwa booonge la kibuti afu mtoto alikua maji ya kilimanjaro mixer u-beyonce mwingi...gucci d&g , izo ni ka kumiliki goloka...
Na nyie tiririkeni....
Kwa swaga zako hizo subir vibut vngne vikal zaid ya hicho, unless kama haulet huo usela/uhuni wako wakat wa kutongoza, mana asilimia kubwa ya waschana hawapend hizo swaga.
Hebu pretend kua gentleman uone utavowapata hadi watakao kupa bure