Je, umewahi kusamehe? Just for the sake of experience...!

hakuna amani kubwa nayopata kama ninaposamehe namshukuru Muumba ameniumbia kusamehe kwa kiwango nisichoweza kukipima
 
nimeshawahi kusamehe niliibiwa kiasi kikubwa cha pesa na mtu ninayemfahamu then nikamsamehe baada ya kuja kuomba msamaha
 
Siri yangu, coz kikubwa kwangu mwingine ni kidogo na vice versa

kuna ndugu mimi aliniibia nikavunja na undugu
na sio hela nyingi sana,niltaka nijue kiasi chako nilinganishe,nione labda mimi mkatili lol
 
kuna ndugu mimi aliniibia nikavunja na undugu
na sio hela nyingi sana,niltaka nijue kiasi chako nilinganishe,nione labda mimi mkatili lol

wewe ni mkatili. Kuna ndugu yangu aliwahi kunifilisi biashara yangu ila sijavunja undugu ingawa kila nikikumbuka roho inaniuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…